Habari za asubuhi
Tafadhali pokea CODES hapo chini na nikutakie siku njema.
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0069.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114435" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0069.jpg" alt="DSC_0069" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kushoto ni Mgeni Rasmi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Bibi Venerose Mtenga na kulia ni Mtaalamu wa Programu za Vijana kutoka UNFPA, Tausi Hassan.<span style="color: #0000ff;">( Picha na Zainul Mzige wa MOblog).</span></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #333399;"><strong>.Siku ya vijana duniani na ujumbe wa "Vijana na Afya ya Akili"</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #333399;"><strong>.Takwimu zinaonyesha nusu ya idadi ya watu nchini ni vijana </strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Mwandishi Wetu</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SERIKALI Kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo imeahidi kukuza na kuboresha misingi ya kuwashirikisha vijana katika utekelezaji wa sera mbalimbali, programu na mikakati ya maendeleo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akisoma hotuba kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Bibi Sihaba Nkinga, wakati wa maadhimisho ya siku ya vijana duniani kwenye viwanja vya Chuo Kikuu Dar es Salaam, Bibi Venerose Mtenga amesema kwamba lengo la kuwashirikisha vijan ni kuhakikisha kuwa sauti zao zinasikika na kufanyiwa kazi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Katika kutekeleza eneo hili Tanzania inalenga kuweka fursa zitakazowawezesha vijana kukuza utaalamu na ujuzi utakaowawezesha kufanikiwa katika kipindi cha mpito kutoka ujana kwenda katika utu mzima," amesema Bibi Mtenga.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema kwamba Tanzania kama sehemu ya dunia inatambua changamoto maalum zinazowakabili vijana walioko katika mazingira hatarishi pamoja na umuhimu wa kuhakikisha kuwa vijana wanahusishwa kikamilifu katika malengo ya maendeleo.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_00961.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114436" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_00961.jpg" alt="DSC_0096" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Bi Mtenga aliongeza Tanzania itaendelea kufanya kazi kwa karibu na vijana pamoja na wadau wa maendeleo ili kuunga mkono programu za elimu ya afya kwa vijana walioko ndani na nje ya shule.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alilisitiza kwamba Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo wataendelea kuunga mkono taasisi za mafunzo rasmi na zisizo rasmi ili kukuza uwezo na uelewa miongoni mwao katika masuala ya afya ya akili na mwili kwa ujumla.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"siku ya vijana duniani inatambua na kuthamini kuwa kipindi cha ujana kinaambatana na mabadiliko makubwa na ya haraka na safari ya kutoka utotoni kufikia utu mzima,"</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Safari hiyo inaweza kuwa ngumu na yenye changamoto nyingi na hivyo kuhitaji utulivu na ukomavu wa akili, hapa Tanzania, kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Maendeleo ya vijana, kijana ni mtu yeyote mwenye umri kati ya miaka 15 hadi 35," aliongeza</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema kwamba katika takwimu za kitaifa hapa nchini nusu ya idadi ya watu ni vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa na uchumi wa nchi kwa ujumla.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0133.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114437" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0133.jpg" alt="DSC_0133" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni Rasmi kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Bibi Venerose Mtenga akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa ya vijana duniani, kushoto kwake, ni Mwakilishi wa UNFPA, Dkt. Natalia Kanem.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Bibi Mtenga aliendelea kusema kwamba msisitizo mkubwa unawekwa katika kuhakikisha vijana wanakuwa na fikra chanya ambazo ni za kimaendeleo na zinazoleta mabadiliko chanya kwa jamii.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa Upande wake, Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dkt. Natalia Kanem amesema kwamba siku ya vijana duniani ni nafasi nyingine kwa vijana kukutana pamoja na kujadiliana matatizo na changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema kwamba vijana kwa kushirikiana na makundi mbalimbali ya kitaifa na kimataifa katika kupambana na changamoto za matumizi ya pombe kupita kiasi, dawa za kulevya na mimba za utotoni.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"kwa pamoja serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali na mashirika ya kimataifa wana wajibu wa kushirikiana na vijana katika kuwasaidia kufikia malengo yao mbalimbali katika harakati za kujiletea maendeleo," amesema Dkt. Kanem.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_00412.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114438" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_00412.jpg" alt="DSC_0041" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya timu za mpira wa kikapu na wanafunzi kutoka shule mbalimbali za sekondari nchini wakimsikiliza mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong> Dkt Kanem aliongeza kwamba ni muhimu kwa vijana kutambua kwamba bila kuwa na afya nzuri ya akili ni vigumu kupiga hatua za kimaendeleo na kuondokana na umaskini wa kipato.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema kwamba katika mkutano unaokuja wa viongozi duniani watatumia nafasi hiyo kuwakumbusha viongozi wa dunia umuhimu wa kuwekeza kwa vijana kama taifa la kesho.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dkt.Kanem alifafanua umuhimu wa vijana na jamiii kwa ujumla kutumia mitandao ya kijamii katika kupashana habari za afya ya uzazi na mambo yanayowahusu vijana kwa ujumla.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Wakati huo huo, Katika mashindano ya mpira wa kikapu timu zilizoshiriki ni timu saba kati ya hizo tano ni za wanaume na pili za wasichana.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0061.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114439" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0061.jpg" alt="DSC_0061" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa upande wa wasichana mshindi wa kwanza ni Don Bosco Lioness na washindi wa pili ni Tanzania Prisons Queens na kwa upande wa wavulana, washindi wa kwanza Lord Baden-Powell Memorial High School, washindi wa pili Makongo High School, washindi wa tatu ni Kizuka Sekondari school.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Timu zilizoshiriki ni Tanzania Prisons Queens, Lord Baden-Powell Memorial High School, Makongo High School, Don Bosco Lioness, Kizuka Sekondari School, Tabata Segerea na Bahari Beach.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01571.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114440" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01571.jpg" alt="DSC_0157" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi, Venerose Mtenga akirusha mpira wa kikapu kuzindua rasmi mashindano ya mchezo wa mpira wa kikapu kwa vijana wa shule za sekondari nchini wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01501.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114441" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01501.jpg" alt="DSC_0150" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa UNFPA, Dkt Natalia Kanem akirusha mpira wa kikapu kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0161.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114442" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0161.jpg" alt="DSC_0161" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni Rasmi na Mwakilishi wa UNFPA wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya timu za mpira wa kikapu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0183.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114444" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0183.jpg" alt="DSC_0183" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi, Venerose Mtenga akiwa katika picha ya pamoja na timu ya wasichana ya mpira wa kikapu wakati wa kuadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01751.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114443" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01751.jpg" alt="DSC_0175" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama (kulia) na Mgeni rasmi, Venerose Mtenga (kushoto) wakimuonyesha jambo Mwakilishi wa UNFPA, Dkt Natalia Kanem (katikati) mara baada ya kupata picha za kumbukumbu na timu zilizoshiriki bonanza hilo la mpira wa kikapu katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_02011.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114445" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_02011.jpg" alt="DSC_0201" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa UNFPA, Dkt Natalia Kanem akisalimiana na msanii muziki wa bongo flava Domokaya (wa pili kulia) wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0636.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114463" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0636.jpg" alt="DSC_0636" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtaalam wa Mawasiliano kutoka UNFPA, Sawiche Wamunza akipata u-selfie na msanii wa bongo flava Domokaya wakati wa maadhimisho hayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0639.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114464" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0639.jpg" alt="DSC_0639" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Phillip Musiba kutoka kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) akipata picha na msanii wa muziki wa bongo flava nchini Domokaya.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0228.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114446" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0228.jpg" alt="DSC_0228" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Timu za Kizuka sekondari kutoka Morogoro, (Nyeupe) na Makongo Sekondari (Njano) wakitoana jasho katika mchezo wa ufunguzi wa mpira wa kikapu, Makongo walishinda vikapu 30 dhidi ya 14 ya Kizuka sekondari kutoka Morogoro.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0235.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114447" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0235.jpg" alt="DSC_0235" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong> </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0245.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114448" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0245.jpg" alt="DSC_0245" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni Rasmi, Bibi Venerose Mtenga akifafanuliwa jambo kutoka kwa Mshauri wa vijana, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNNFPA), Bw, John Kalimwabo alipotembelea banda hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0271.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114449" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0271.jpg" alt="DSC_0271" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni Rasmi, Bibi Venerose Mtenga akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwalimu Tatu Mwakifuna na Mwanafunzi wake, Zawadi Salehe wote kutoka KIWOHEDE. Kushoto kwa mgeni rasmi ni Mtaalamu wa Programu za Vijana kutoka UNFPA, Tausi Hassan.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_02941.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114450" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_02941.jpg" alt="DSC_0294" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi akipata maelezo kutoka kwenye banda la Tanzania Network Against Alcohol Abuse kwenye moja la shirika lake la Tanzania Girl Guides Association, anayetoa maelezo ni Fadhia Khamis Ally na kushoto kwake ni Shadya Soud Milanzi wasichana hao wanatoka Girl Guides ambacho ni chama kisicho cha kiserikali na ni chama cha kujitolea, madhumuni yake ni kuwaendeleza wanawake pamoja na motto wa kike katika maswala ya kijamii na kiuchumi kwa kuwapa elimu na mafunzo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0304.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114451" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0304.jpg" alt="DSC_0304" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi, Bibi Venerose Mtenga akimsikiliza kijana kutoka Kituo cha Vijana UMATI, Temeke, Kassim Abdallah alikuwa akimweleza mgeni rasmi jinsi wanavyotoa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana kwa kutumia vipeperushi na ushauri nasaha.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_03431.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114452" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_03431.jpg" alt="DSC_0343" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wawakilishi kutoka Marie Stopes Hospital Tanzania, Bibi Zayana Nuhu na John Basso Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wakimweleza jambo mgeni rasmi jinsi hospitali hiyo inavyofanya kazi hapa nchini.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0352.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114453" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0352.jpg" alt="DSC_0352" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni rasmi akipata picha ya kumbukumbu na mmoja wa wahudumu wa banda la Marie Stopes wakati wa maadhimisho hayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0518.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114457" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0518.jpg" alt="DSC_0518" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Joynes Ashery kutoka Marie Stopes Hospital Tanzania akifafanua jambo kuhusiana na masuala ya afya ya uzazi kwa Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) ambao ni wameshiriki kuratibu maadhimisho hayo, Stella Vuzo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_03922.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114454" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_03922.jpg" alt="DSC_0392" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mshauri wa vijana, Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNNFPA), Bw, John Kalimwabo akitoa maelezo ya matumizi sahihi ya Kondomu za kike kwa kutumia kiungo bandia cha mwanamke kwa vijana waliohudhuria maadhimisho ya kimataifa ya siku ya vijana duniani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0398.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114455" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0398.jpg" alt="DSC_0398" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Vijana wakiendelea kumiminika kwenye banda ya UNFPA kupata maelezo mbalimbali wakati wa maadhimisho ya kimataifa ya siku ya vijana duniani yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0489.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114456" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0489.jpg" alt="DSC_0489" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mratibu wa uzazi wa mpango kutoka shirika la PSI, Hadija Ameir akitoa elimu ya uzazi wa mpango kwa vijana wakati wa maadhimisho hayo katika viwanja vya Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0545.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114458" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0545.jpg" alt="DSC_0545" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo akizungumza na baadhi ya watoto walioshiriki mashindano ya kuchora picha mbalimbali zikiwemo za kuhamasisha vijana kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya baada ya kuvutiwa na kazi zao.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0549.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-114459" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0549.jpg" alt="DSC_0549" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtoto Tarzan Iddy akionyesha picha yake aliyoichora ikizungumzia uvutaji wa Bangi kwa vijana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0738.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114465" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0738.jpg" alt="DSC_0738" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Mgeni rasmi, Bibi Venerose Mtenga na Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama wakikagua baadhi ya picha hizo na maudhui kabla ya kutangaza washindi.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0742.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114466" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0742.jpg" alt="DSC_0742" width="640" height="469" /></a></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0755.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114467" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0755.jpg" alt="DSC_0755" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Mgeni rasmi, Bibi Venerose Mtenga akikabidhi nyenzo za sanaa ya uchoraji zilizotolewa na UNFPA kwa mtoto Lawrence Dennis wakati wa maadhimisho ya kimataifa ya siku ya vijana duniani.</strong></em></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_07651.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114468" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_07651.jpg" alt="DSC_0765" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni ramsi Bibi Venerose Mtenga akimkbidhi mmoja kati ya tatu bora wa mashindano ya uchoraji Aziza Iddy nyenzo za sanaa ya uchoraji kutoka kwa zilizotolewa na UNFPA sambamba na ufadhili wa kusomeshwa kulipiwa ada ya darasa la uchoraji kwa siku tano.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0835.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114469" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0835.jpg" alt="DSC_0835" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Mgeni ramsi Bibi Venerose Mtenga akiwavalisha medali timu zilizochukua ubingwa wakati wa maadhimisho hayo.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0867.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114470" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0867.jpg" alt="DSC_0867" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0801.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114474" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0801.jpg" alt="DSC_0801" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mgeni ramsi Bibi Venerose Mtenga akimkabidhi zawadi Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) Michael Maluwe kama shukrani ya kuratibu bonanza la mpira wa kikapu kwa vijana wakati wa maadhimisho hayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0944.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114471" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0944.jpg" alt="DSC_0944" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Mgeni ramsi Bibi Venerose Mtenga akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa kwanza wa bonanza la mpira wa kikapu timu ya Lord Baden-Powell.</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0948.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114472" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0948.jpg" alt="DSC_0948" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Timu ya wasichana ya mpira wa kikapu ya Don Bosco Lioness kwenye picha ya pamoja na Mgeni ramsi Bibi Venerose Mtenga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0935.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-114473" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0935.jpg" alt="DSC_0935" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Timu ya waichana ya Don Bosco Lioness wakijipiga u-selfie baada ya kuibuka kidedea kwenye maadhimisho hayo.</strong></em></p>
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments