<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/mwenyekit.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111557" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/mwenyekit.jpg" alt="mwenyekit" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Iddy Mnyampanda akizungumza shule ya sekondari Kinyeto.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Hillary Shoo, SINGIDA.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Mkoani Singida, Lazaro Nyalandu ametoa mchango wa mabati 420 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa shule mbili za sekondari za Kata za Mtinko na Kinyeto.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mchango huo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Jimbo hilo kuchangia katika ujenzi wa maabara mbalimbali kwenye shule za sekondari za Jimbo hilo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akikabidhi msaada huo kwa Niaba ya Nyalandu ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Singida Narumba Hanje aliwataka wananchi kuheshimu michango ya Mbunge wao na kuachana na porojo za siasa za mitaani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kinyeto.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111558" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kinyeto.jpg" alt="kinyeto" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Diwani wa Kata ya Kinyeto, Francisco Ng'eni akizungumza kwenye shule ya sekondari Kinyeto wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya mabati 200.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Nataka niwaulize swali hivi ni wananchi ndio wenye matatizo au ni sisi viongozi, jibu ni rahisi ni sisi viongozi ndio wenye matatizo, haiwezekani Mbunge anatoa msaada mkubwa namna hii halafu watu wanajipitishapitisha wakitukana." Alisema Hanje kwa hasira.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha alisema wapo watu wanaompaka matope Waziri Nyalandu, lakini matunda yake yanaonekana na anaendelea kutekeleza ahadi zake.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Mimi inanishangaza sana kuna watu wameanza kujipitisha pitisha huko na wengine wanatukana kisa eti ni kaligi sijuji Mpombo Cup, fanya vitu vionekane sio maneno maneno kaka, na mimi ndiye mtekelezaji mkuu wa Ilani ya Chama Willaya hii." Alisema Hanje kwa kujiamini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/diwani.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111559" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/diwani.jpg" alt="diwani" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Diwani wa Kata ya Kinyeto, Francisco Ng'eni akipokea msaada wa mabati 200 kutoka kwa Mwenyekiti Hanje kwa niaba wa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe, Lazaro Nyalandu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/elia.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111560" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/elia.jpg" alt="elia" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Katibu wa Mbunge Lazaro Nyalandu , Elia Digha, msaidizi wa Mbunge Ellen Mutalemwa wakimsikiliza Mwenyekiti Hanje Kinyeto.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/ellen.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111561" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/ellen.jpg" alt="ellen" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya Mtinko.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/hanje.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111562" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/hanje.jpg" alt="hanje" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa CCM Singida vijijini, Narumba Hanje akizungumza na wananchi wa Kata ya Mtinko wakati wa kukabidhi mabati 220.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kabidhi.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111563" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kabidhi.jpg" alt="kabidhi" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Singida Vijijini, Narumba Hanje (kulia) akimkabidhi mabati 220 yenye thamani ya shilingi milioni tano Afisa Mtandaji wa Kata ya Mtinko Jimbo la Singida Kaskazini, Eliufoo Mkanga katika hafla fupi iliyofanyika jana katika shule ya Sekondari ya Kata ya Mtinko , mabati hayo yametolewa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa maabara na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe,Lazaro Nyalandu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/maabara.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111564" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/maabara.jpg" alt="maabara" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Hili ni jengo la maabara ya sekondari ya Kinyeto likiwa katika hatua ya lenta. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kibao.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-111565" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/kibao.jpg" alt="kibao" width="640" height="480" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kibao kikionesha shule ya sekondari Mtinko.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO).</strong></em></span></p>
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
1 Comments
We do not allow links in comments!
REPLY