IBADA ZA WAISLAMU KUATHIRIWA NA SERIKALI ZA KIKAFIRI
waislamu walio swali leo wameingiwa na shaka baada ya kuona mwezi jana ulivyo mkubwa na kufanya waamini kuwa habari za kuonekana KENYA mwezi na sehemu kadhaa duniani ni kweli na ndio ilifaa kufuatwa
lakini tetesi zinakazidi kuwa tia majonzi baada ya kugundua kuwa sherehe za mwenge ambao ni ushirikina zimechangia kuakhirisha swala ya eidi na kufanywa waislamu wafunge swaumu siku ambayo ni haramu kufunga kwani kwa wageni waalikuwa kwa siku ya jana ilikuwa siku ya ibada zao za moto hivyo wasinge shughulika na ibada za uislamu hawa ni wale wa kundi la bakwata na waislamu huifata bakwata kwenye mwezi tu ila kwenye vyama hivi vya kikafiri bakwata hawaipendi wala hawataki kuisikia haya ndio maajabu
Ama kwa upande wa waisamu wajiitao masalaf na wao wametia aibu na fedheha baada ya kuwa misimamo tangu dahari kuwa mwezi ni wakimataifa ajabu na wao hawakuswali tena kwa sababu za kikafiri nazo ni kuto kuikera serikali hii inayo nadi hakuna dini katika maisha ni marufuku kuleta maishani dini
kufru hii masalaf wamekubali kuivumilia na kuacha kuswali idi jana na kuswai leo watu hawa mwanzo wakiita waislamu wenzao ni makafiri kwa kusikiliza masheikh wa bidaa wanao piga dufu tu ajabu wao leo wao wana wasikiiza wasimamizi wa ukafiri ? viongozi ambao wana dharau wazi wazi sheria za muumba na kumtukana kuwa sheria zake hazifai na nizakikatili pia zime pitwa na wakati?
waislamu tangu hapo mwanzo wakiwatilia mashaka masalafi kuwa wana tumiwa na AMERKA kupitia mlango wa SAUDIA kuwagawa waislamu kwa mada ndogo ndogo za ikhtilafu baina ya waislamu na kukuza mizozo isiyo kwisha wala kufika mwisho sasa mashaka yao huenda yakawa yakini baada ya masalafi kuwa mbogo kwa anaye tukana au kupinga tawala hizi za kikafiri na hakika wapo tayari hata kukudhuru ikiwa utatoa hoja na mahubiri ya kuionesha ubaya wa serikali hizi jambo ambalo hata chadema makafiri hukosoa serikali hizi kila uchao japo na wao ndio wale wale ila waislamu hawa wanao jifanya ndio waislamu wa kweli kwa kufuga ndevu na kupunguza suruali wamechupa mipaka
MWISHO TUNA SEMA
waislamu kutofautiana misimamo juu ya mwezi si makosa aibu wa vurugu ia serikali hizi na zo hutumia chochoro hiyo kuingiza yao ya kutugawa zaidi
WANA FIKI WOTE WAJUE KUWA WAISLAMU SASA WANA SONGA MBELE KUELEKEA KUSIMAMISHA UISLAMU KAMA MFUMO KAMILI HIVYO WALIO PATA TENDA ZA KULAZA WAISLAMU WAJENGE KABISA
-- waislamu walio swali leo wameingiwa na shaka baada ya kuona mwezi jana ulivyo mkubwa na kufanya waamini kuwa habari za kuonekana KENYA mwezi na sehemu kadhaa duniani ni kweli na ndio ilifaa kufuatwa
lakini tetesi zinakazidi kuwa tia majonzi baada ya kugundua kuwa sherehe za mwenge ambao ni ushirikina zimechangia kuakhirisha swala ya eidi na kufanywa waislamu wafunge swaumu siku ambayo ni haramu kufunga kwani kwa wageni waalikuwa kwa siku ya jana ilikuwa siku ya ibada zao za moto hivyo wasinge shughulika na ibada za uislamu hawa ni wale wa kundi la bakwata na waislamu huifata bakwata kwenye mwezi tu ila kwenye vyama hivi vya kikafiri bakwata hawaipendi wala hawataki kuisikia haya ndio maajabu
Ama kwa upande wa waisamu wajiitao masalaf na wao wametia aibu na fedheha baada ya kuwa misimamo tangu dahari kuwa mwezi ni wakimataifa ajabu na wao hawakuswali tena kwa sababu za kikafiri nazo ni kuto kuikera serikali hii inayo nadi hakuna dini katika maisha ni marufuku kuleta maishani dini
kufru hii masalaf wamekubali kuivumilia na kuacha kuswali idi jana na kuswai leo watu hawa mwanzo wakiita waislamu wenzao ni makafiri kwa kusikiliza masheikh wa bidaa wanao piga dufu tu ajabu wao leo wao wana wasikiiza wasimamizi wa ukafiri ? viongozi ambao wana dharau wazi wazi sheria za muumba na kumtukana kuwa sheria zake hazifai na nizakikatili pia zime pitwa na wakati?
waislamu tangu hapo mwanzo wakiwatilia mashaka masalafi kuwa wana tumiwa na AMERKA kupitia mlango wa SAUDIA kuwagawa waislamu kwa mada ndogo ndogo za ikhtilafu baina ya waislamu na kukuza mizozo isiyo kwisha wala kufika mwisho sasa mashaka yao huenda yakawa yakini baada ya masalafi kuwa mbogo kwa anaye tukana au kupinga tawala hizi za kikafiri na hakika wapo tayari hata kukudhuru ikiwa utatoa hoja na mahubiri ya kuionesha ubaya wa serikali hizi jambo ambalo hata chadema makafiri hukosoa serikali hizi kila uchao japo na wao ndio wale wale ila waislamu hawa wanao jifanya ndio waislamu wa kweli kwa kufuga ndevu na kupunguza suruali wamechupa mipaka
MWISHO TUNA SEMA
waislamu kutofautiana misimamo juu ya mwezi si makosa aibu wa vurugu ia serikali hizi na zo hutumia chochoro hiyo kuingiza yao ya kutugawa zaidi
WANA FIKI WOTE WAJUE KUWA WAISLAMU SASA WANA SONGA MBELE KUELEKEA KUSIMAMISHA UISLAMU KAMA MFUMO KAMILI HIVYO WALIO PATA TENDA ZA KULAZA WAISLAMU WAJENGE KABISA
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments