[wanabidii] Agizo muhimu kwa wazazi, walezi kutoka kwa Kamanda wa Polisi Zanzibar kuhusu sherehe za Eid ul Fitr

Monday, July 28, 2014
Taarifa kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkadam Khamis

Kwa mnasaba wa sherehe za eidul fitr, jeshi la polisi linatoa mwongozo kwa wenye familia na kwa wale wanaotarajia kutembea na watoto wao siku za sikukuu, wawaandikie watoto wao namba za simu za wazazi/walezi na kuzihifadhi katika mifuko ya mashati au suruali au sehemu nyengine yoyote ili iwarahisishie kazi jeshi la Polisi kuweza kujua mtoto na mzazi/mlezi wake na kuweza kuharakisha mawasiliano kwa haraka

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments