[wanabidii] mwanambaya plot cheap

Sunday, May 04, 2014
Wapendwa  japo wengine mnanipiga mkwara nisiwe napost humu masuala ya fursa, jamani lakini si vyema niwanyime wengine fursa kwa sababu ya baadhi yetu, atleast once a week niwape whats is happening in properties...fursa ni fursa .......
OK
Kuna plots/mashamba kibao za bei rahisi maeneo yafuatayo kule mkuranga, mwanambaya (eka kuanizia m 4) kisemvuli(eka kuanzia m 4 negotiable) mipeko(eka kuanzia m 3)...kuna eka 80 kwa m 300 mipeko village ina hati kabisaa, kuna eka  eka 2 mwanambaya (mil 9 barabarani) kisemvule aka 4 zenye hati m 4000 jirana na rhino cement, eka 20 zipo mbane bei m 500 negotiable, eka 50 zipo mvuti kwa mzungu bei m 250 tu, eka 100 kila eka m 3  lipo mvuti jiran na shamba la magereza mvuti.
kibaha: kuna eka 8.5 along main road m 280 tu,  ena 2.5 kwa sh 350 million  just near tamcobezi beach plot sqm 400 zipo 2 zote m 100. kijiji cha zumba kuna eka 2o kila eka laki 4 tu hiki kijiji ni km  11 tok TUMBI HOSP wapendwaaa, msiogope

Nyumba zipo kibao ubungo zipo za m 35 hadi 50, sinza zipo za m 100 hadi 500, ars ipo ya m 50 mbauda, mikocheni ipo ya m 500, mbez luis zipo za m 60 hadi 200, ukonga ipo ya m 130 kali sana, bunju zipo za m 40 hadi 300, bahari beach zipo za m 200 hadi 500
Tuone tukupe tukuoneshe hz fursa zilipo
Njoo sinza mori
Uliza....Rockland Co ltd
Uliza mollel, the Real estate coordinator
au nipigie 0652 314181 muda wowote

Share this :

Related Posts

0 Comments