[wanabidii] Tahadhari kutoka Utumishi kuhusu utapeli wa ajira na mikopo

Thursday, April 03, 2014
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 

OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA 

TAHADHARI 

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma inawatahadharisha wananchi wote, ndani na nje ya nchi kujihadhari na watu wanaotumia jina la Utumishi kuwaibia fedha na kupoteza muda wao kufuatilia jambo ambalo halipo.

Watu hao wanatumia majina yafuatayo katika mitandao:
Saving Foundation Loans na Jakaya Foundation kwa anuani 
http://savingfoundation.wapka.mobi/index.xhtml na kuelekeza kuwa Makao Makuu yapo kwenye jengo la UTUMISHI.

Namba za simu zIfuatazo zimekuwa zikItumika kuwatapell wananchI watume fedha; 0715-373307, 0656-037520 na 0762-269376.

Wananchi epukeni kurubuniwa na watu hao kwani Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma haijishughulishi na kutoa mikopo ya aina yoyote kwa wananchi.

Tangazo limetolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. 

2 Aprili, 2014 

Mawasiliano: permsec@utumishLgo, S.L.P 2483 Dar es Salaam,Simu, (255) 22 2118531-4 

--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

Previous
Next Post »
0 Comments