[wanabidii] MPIGA GITAA SKYLIGHT BAND CHIRI CHALLA AFARIKI GHAFLA

Thursday, April 17, 2014
CODES



<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-103681" alt="10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n.jpg" width="524" height="350" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo  Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na kumsababishia maumivu makali  sehemu kichwani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10268531_10152035773597864_7736400417218686840_n.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-103682" alt="10268531_10152035773597864_7736400417218686840_n" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/10268531_10152035773597864_7736400417218686840_n.jpg" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Kutokana na msiba huo uongozi unapenda kutoa taarifa kuwa Show ya Escape One iliyokuwa ifanyike Alhamis ya April 17 imeahirishwa hata hivyo uongozi unasikitika kumpoteza msanii huyo ambaye alikuwa ni kiungo muhimu wa bendi na inaungana na familia ya marehemu Chiri Challa kuomboleza kifo cha mpendwa wao na inatoa pole kwa familia na mashabiki wa Skylight Band na wapo bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Msiba na shughuli za mazishi zinafanyika maeneo ya Mwanyamala Ujiji mtaa wa Mpunga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800000;"><em><strong>Kwa mawasiliano zaidi namba ya Meneja wa Bendi +255  715 677 499.</strong></em></span></p>

KAWAIDA


10173726_10152036323227864_1413106576404088176_n

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili.

Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa bendi hiyo kuwa mpiga gitaa huyo machachari amefariki baada ya kuugua kwa siku mbili ugonjwa wa kupooza nusu ya mwili wake na kuepelekea kutofanya kazi ipasavyo.

Kwa mujibu wa Meneja wa bendi hiyo  Aneth Kushaba AK47 Ugonjwa wa kupooza ulipelekea mishipa ya damu kichwani kupasuka hivyo na kumsababishia maumivu makali  sehemu kichwani.

10268531_10152035773597864_7736400417218686840_n

Kutokana na msiba huo uongozi unapenda kutoa taarifa kuwa Show ya Escape One iliyokuwa ifanyike Alhamis ya April 17 imeahirishwa hata hivyo uongozi unasikitika kumpoteza msanii huyo ambaye alikuwa ni kiungo muhimu wa bendi na inaungana na familia ya marehemu Chiri Challa kuomboleza kifo cha mpendwa wao na inatoa pole kwa familia na mashabiki wa Skylight Band na wapo bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu.

Msiba na shughuli za mazishi zinafanyika maeneo ya Mwanyamala Ujiji mtaa wa Mpunga.

Kwa mawasiliano zaidi namba ya Meneja wa Bendi +255  715 677 499.

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments