Ndg zangu salamaaa.
sasa naombeni sana mwenye kuweza kutumia fursa hii aitumie haraka kabla haijayeyuka, ni fursa adimu sana......nimepata tender pale ofsn kusearch sheli ya kuuza mikoa ya Pwani/Dar.....bei ya kuuzwa isizid usd mil 2au 2.5.....tunahitaji sheli 10 kutoka mikoa 2 ya Pwani/Dar es salaam
Nitaleta taarifa za properties zilizowasilishwa tuuze kuanzia j5
wasalaam
Mollel
REPM
0 Comments