HATIMAYE aliyekuwa mhariri wa Tanzania Daima, Absalom Kibanda na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi, Theophil Makunga wameachiwa huru na Mahakama ya Kisutu muda huu. Wahariri hao pamoja na mwandishi wa makala Samsoni Mwigamba walifunguliwa mashitaka ya uchochezi tangu mwaka 2011, kutokana na makala iliyoandikwa na Mwigamba ikisema 'waraka kwa askari wote wa Tanzania' na kuchapwa katika gazeti la Tanzania Daima.
Related Posts
- [wanabidii] [NAI Forum] Not so mega?
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] MWANAFUNZI AMEJINYONGA HOSPITALINI KWA MADAI YA KUKOSA MATIBABU
- [wanabidii] Press Releases: Coordinator for Cyber Issues Travels to Israel
- [wanabidii] Hundreds Dead in Hamas Human Trafficking, Rockets from Gaza, Message from Naftali Fraenkel's Mother - Sept. 17, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments