[wanabidii] Know your Nairobi Candidates

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Know your Nairobi Candidates

Women Representative (presented in the order they were listed to present their nomination papers)
1. Irene Kasalu
2. Rachel Shabesh
3. Mary Musuki Mudachi
4. Rahab Wangui Ndambuki
5. Tabitha Matero Wanjira
6. Prisca Wambui Huthu
7. Sylvia Mang'ala
8. Dinah Awour
9. Jane Mwihaki Githaiga
10. Esther Muthoni Passaris
11. Peris Wanja Karanja


Governor (presented in the order they were listed to present their nomination papers)
1. Dr. Evans Odhiambo Kidero
2. Wanyiri Kihoro
3. Geoffrey Thuku Kobia
4. Mokua
5. Ferdinand Clifford Waititu
6. Alice Chepkorir Mwok
7. Mutinda Richard Kavemba
8. Jimnah Mbaru
9. Joseph Mwangi


Senator (presented in the order they were listed to present their nomination papers)
1. Okiya Omtatah Okoiti
2. Bishop Adoyo Bonifas
3. John Kibao
4. Timothy Ayieng Olingo
5. Mike Sonko Mbuvi
6. Bishop Margaret Wanjiru
7. Arnold Onyango Maliba
8. Richard Nyakwaka
9. Stanely Livondo
10. John Maina Kamunya
11. David Kinyua
12. Kimaru Thomas Njerewe
13. Richard Desailly Omondi (pulled out in support of Richard Nyakwaka)

[wanabidii] Neno Fupi La Usiku Huu; Hakuna Siri...!

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Neno Fupi La Usiku Huu; Hakuna Siri...!
Ndugu zangu,

Wanadamu tunahangaika sana kutaka kutunza siri. Niwaambie, katika maisha hakuna siri. Na kama zipo, ni chache sana.

Inasemwa, kuwa siri ni ya mmoja. Lakini ona, hata mmoja huyo anaweza kuweweseka na siri ya moyoni mwake. Na mara ile atakapomnon'oneza mwenzake, basi, kuna unafuu atauona.

Ukweli ni huu, kuwa kwenye maisha haya tunayoishi, siri ni chache sana. Ndio, ni wanadamu wachache sana wenye siri na wakazitunza. Hivyo, wanadamu tunapoteza muda na nguvu zetu nyingi sana katika kujifanya tunatunza siri. Ni kazi bure.

Duniani kuna wenye kusema wasiyomaanisha, na kuna wasiomaanisha wanayosema. Haya ni mawili tofauti. Na wenye kuyatenda wanadhani kuna wanachoficha. Kuwa wana siri. Hapana, wanajidanganya. Hivyo, ni waongo tu.

Mara nyingi nakutana na watu wenye kutamka; " E bwana ee, jambo nililokueleza ni siri, usimwambie mtu!" Na jambo hilo hilo unaweza kuambiwa na mwingine, kwa staili hiyo hiyo, kuwa ni la siri!

Wanachoshindwa wengi kutofautisha ni hiki; muhimu na siri. Lililo la muhimu, na pengine nyeti, si lazima liwe la siri.

Na hilo ni Neno Fupi la Usiku Huu.

Maggid Mjengwa,

Iringa.
0788 111 765
http://mjengwablog.co.tz

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Serikali iweke bayana uamuzi wa gesi izalishe umeme Dar es Salaam na si Mtwara

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Serikali iweke bayana uamuzi wa gesi izalishe umeme Dar es Salaam na si Mtwara
Serikali iweke bayana taratibu zilizofanikisha uamuzi gesi ya Mtwara
izalishe umeme Dar es Salaam badala Mtwara
Dkt A. Massawe/massaweantipas@hotmail.com

Pamoja na habari njema za maelewano kupatikana baina ya Serikali na
wenyeji wa Mtwara kuhusiana na swala la gesi asilia ya Mtwara kutumika
Dar es Salaam badala ya huko huko Mtwara kwa ajili ya uzalishaji wa
umeme, ukweli ni kwamba bado hilo sio jibu kwa watanzania wengine
wengi ambao bado wanaona kwamba gesi ya Mtwara ilibidi izalishe umeme
huko huko Mtwara badala ya Dar es Salaam ili kuwezesha taifa kupata
faida kubwa zaidi.

Ukweli ni kwamba upembuzi yakinifu ulikuwa ni muhimu sana ili kubaini
faida na hasara za matumizi yote mbada ya gesi asilia ya Mtwara kwa
ajili ya uzalishaji wa umeme ili kuwezesha ule mbada wenye faida kubwa
zaidi kwa taifa kwa kipindi chote cha uhai wa mradi kuchaguliwa.

Hii ni kuzingatia kwamba, uzalishaji wa umeme tarajiwa kutokana na
gesi asilia ya Mtwara ni mradi mkubwa unaogharimu fedha nyingi sana na
wa muda mrefu na kwamba matumizi mbadala ya gesi asilia ya Mtwara kwa
ajili ya uzalishaji umeme ni mingi na inayotofautiana sana kwa gharama
na faida kwa vipindi vyote vya uhai wake. Miongoni mwa matumizi hayo
mbadala ni yale ya gesi asilia ya Mtwara kuzalisha umeme huko huko
Mtwara na gesi asilia ya Mtwara kuzalisha umeme Dar es Salaam ambayo
hutofautiana sana kwa gharama na manufaa kwa taifa kwa vipindi vyote
vya uhai wake.

Pia maamuzi ya Serikali kuhusu ni mbadala upi miongoni mwa matumizi ya
gesi ya Mtwara mbadala kwa ajili ya uzalishaji wa umeme utumike hapa
Tanzania yalibidi yahusishe wataalamu kutoka wizara zote, sekta
binafsi na watanzania wote kupitia Bunge lao tukufu kwani matarajio na
matakwa ya sekta mbalimbali za kiuchumi hapa nchini kutokana na
matumizi mbada ya gesi asilia kwa ajili ya uzalishaji umeme yanaweza
kutofautiana na kupingana sana.

Hivyo, ilibidi upembuzi yakinifu ufanywe kwa kuzingatia mapendekezo ya
wataalamu kutoka Wizara zote, sekta binafsi na watanzania wote kwa
kupitia Bunge lao tukufu ili kuwezesha kubaini gharama na faida za
matumizi yote mbadala ya gesi asilia ya Mtwara kwa ajili ya uzalishaji
wa umeme kwa kuzingatia matarajio na matakwa ya wote kitaifa ili
kuwezesha kuchaguliwa kwa ule mbadala wa matumizi ya gesi asilia ya
Mtwara kwa ajili ya uzalishaji mkubwa wa umeme unaozingatia matarajio
na matakwa ya wote na ulio na manufaa makubwa zaidi kwa wote na kwa
taifa lote kwa ujumla kwa kipindi chote cha uhai wake.

Ni vizuri serikali ikaweka bayana vipengele vilivyozingatiwa na
taratibu zote zilizofuatwa kuwezesha kuamuliwa na Serikali gesi asilia
ya Mtwara izalishe umeme Dar es Salaam badala ya Mtwara.


Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2Ja1Vzi7j

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Presidential Race;Kamencu Alituenjoy/Case of Betrayal!

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Presidential Race;Kamencu Alituenjoy/Case of Betrayal!
 
When the madness of an entire nation disturbs a solitary mind, it is not enough to say the man is mad." - BETRAYAL IN THE CITY,Francis Imbuga (Rest in Peace).

At this point in time,we will need a commission of inquiry to establish among others;-
 
1).Whether the above YouTube exclusively explains the real reason for not making it to the ballot mbox.
 
2).Whether the Njuri njece council of elders were surppotive or not or by extension hindered her candidacy.
 
3).Whether Marita Wangare will alone fit the interests of women as a presidential candidate.
 
4).Whether women will complain of a raw deal in an open contest.
 
 
*Marita Wangare was the only man PNU ever produced in the early days of the 10 parliament.
 
I am yet to come to terms as to why PNU,a coalition wing that hosts the president is not heard and has neither cleared any candidate for the various positions towards the 4th March 2013 race!
 
Kamencus is a case of betrayal!
 
Evans MACHERA

[wanabidii] NCPA II

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] NCPA II
Did you know that 71% of children in Tanzania do not have access to
basic needs such as potable water, proper sanitation, health
facilities and education?

Protecting vulnerable children is everyone's responsibility. The new
National Plan of Action for Most Vulnerable Children, to be launched
in Dodoma tomorrow 1st Feb 2013, sets out how everyone can play their
part.

--
drmayunga@gmail.com
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
www.ores.or.tz
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352


--
drmayunga@ores.or.tz
admin@ores.or.tz
info@ores.or.tz
www.ores.or.tz
www.twitter.com/drmayunga
Tel +255 784 520680
Tel +255 25 2600419
Fax +255 25 2600352

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

[wanabidii] Wafanya Biashara wa mwenge - Dar es Salaam Wakutana na uongozi wa TRA

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Wafanya Biashara wa mwenge - Dar es Salaam Wakutana na uongozi wa TRA

Wafanya Biashara wa mwenge - Dar es Salaam Wakutana na uongozi wa TRA

Leo maofisa wa TRA wamekutana na wafanya biashara wote wa Mwenge na kutoa mafunzo kuhusu wajibu wa mlipa kodi na hasa elimu kuhusu mashine mpya za risit EFD). pamoja na hayo

http://goldentz.blogspot.com/2013/01/wafanya-biashara-wa-mwenge-dar-es.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Planning for The Makadara Human Peace Caravan

Thursday, January 31, 2013 Add Comment


Dear Friends and Partners,

We hosted our Planning Session for The Mater Kayaba Human Peace Caravan today at the DC's Office in Makadara. After paying a Courtesy Call on the DC, we receded to our Planning Session that was chaired by Mr. AB Mayabi- DO 1 Makadara and attended by Mzee John Odhiambo- DPC Chair Makadara District, CIP Mwakirie Jesse from the Administration Police and Mr. Michael Osir- the Peace Monitor- Makadara, Embakasi and Njiru Districts.

Mzee John Odhiambo- DPC Chair Makadara, Mr. AB Mayabi- DO 1 Makadara, Odhiambo T Oketch, Mr. Suleiman Chege- DC Makadara, CIP Mwakirie Jesse and Mr. Michael Osir- the Peace Monitor- Makadara, Embakasi and Njiru Districts

We agreed that The Mater Kayaba Human Peace Caravan will be flagged off by the DC Makadara on the 13th February 2013 at The Mater Hospital at 8.00am. We will Walk for Peace to Marigoini Chief's Camp, South B Mosque, Aoko Road, DO's Office Hazina, Kayaba and end at Enterprise Road.

We will have three stops where the DC and the Leaders present will invite the residents to keep the Peace, Campaign Peacefully and Vote in Peace come the 4th March 2013 at Marigoini, DO's Office and at Enterprise Road.

You are all invited and the procession will be led by the Administration Police Band and the Traffic Police.

In the meantime, we are almost complete with our logistical issues for The Dandora Human Peace Caravan. We are pushing our Partners for the last minute efforts and we are confident everything will fall in place in time. The DC Njiru will flag off the Caravan at the DO's Office in Dandora, next to the Catholic Church at 8.00am.

We will walk to Total Petrol Station, Komarock Road, James Osogo Road, Dandora Matatu Terminus and then end at Dandora 4 around Awendo Area.

We are also going to have some Special Guests walking for Peace with us in Dandora. We are hence inviting as many Groups and Teams to come out and walk with us.

You are all invited and the procession will be led by the Administration Police Band and the Traffic Police.

Lastly, we have enclosed The TCKC Calender of Events. Kindly look at it and see how best you can be part of this Campaign as we appreciate the following Team members and Partners at The Kenyans for a Clean General Elections Campaign;

  1. A Better World/SOFDI 
  2. The Public Service Transformation Department
  3. The Independent Electoral and Boundaries Commission
  4. The Provincial Administration- Nairobi
  5. The City Council of Nairobi
  6. The National Steering Committee on Peace Building and Conflict Management
  7. The CHF International- Kenya Tuna Uwezo
  8. PeaceNet Kenya
  9. Kituo Cha Sheria
  10. The Kenya Police Service
  11. Administration Police Band
  12. The Traffic Police Department
  13. The World Vision Kenya
  14. Transparency International
  15. Radio Ramogi- Royal Media Services Ltd
  16. Waumini FM
  17. Kiss FM- Radio Africa Group
  18. Citizen TV- The Power Break Fast Show
  19. Freedom House
  20. Electoral Institute for Sustainable Democracy in Africa
  21. Dagoreti District Peace Committee
  22. Kibera Community Justice Centre 
  23. Kariobangi Waste Management Alliance and
  24. The Nation Media Group
  25. The NTV
  26. The Standard Newspapers
  27. The Star
  28. KTN 
  29. Soweto IPA of the World Vision Kenya
  30. The People of Kenya

As at this time, only the World Vision Kenya has confirmed that they will give us Water for the Administration Police Band. We are looking forward to what other Partners can do for us as well.

Let us all work for a Clean Kenya, a Clean Africa and a Clean General Election as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 


Odhiambo T Oketch,
Executive Director,

The Clean Kenya Campaign- TCKC

Tel; 0724 365 557

The Clean Kenya Campaign is an Initiative of KCDN Kenya

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Our Phones are back up!

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Our Phones are back up!
Service Alert!

Dear Valued Customer,

Please note that our main line +255 22 2194900 is back up. You can also reach us on the following mobile numbers:

  • 0754 781154
  • 0754 781156
  • 0777 704043
  • 0777 704044
  • 0732 992200
  • 0732 992201
Visit our website www.dhl.co.tz for more on our services and products.

Warm regards,

Ashish Nagewadia
Commercial Manager
DHL Express Tanzania

That email was sent to wanabidii@googlegroups.com because you are a customer of DHL Express or a subscriber to our newsletter. Ensure future delivery of our emails in your inbox by adding africa@dhl-news.com to your address book.
  Deutsche Post DHL - The Mail & Logistics Group. 2011 © DHL International GmbH. All rights reserved.

[wanabidii] READ AND READ FO BETTERNESS OF OUR NATION

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] READ AND READ FO BETTERNESS OF OUR NATION
Hongera Ustaadhi kwa kazi nzuri maana Hapa ndipo Kuna fumbo la Imani

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

[wanabidii] Ebrief 'The Effect of Boards on the Performance of Microfinance Institutions: Evidence from Tanzania and Kenya'

Thursday, January 31, 2013 Add Comment

 

 

 

The Effect of Boards on the Performance of Microfinance Institutions: Evidence from Tanzania and Kenya

By Neema Mori and Donath Olomi

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Although microfinance institutions (MFIs) are the most prominent providers of financial services to low-income people, their economic and social performance is subject to debate. How MFIs are governed is likely to affect their efficiency, outreach to the poor, sustainability, and impact on poverty alleviation.

 

This study explores and examines the effects of the governing board on the social and financial performance of MFIs. The first phase of the study explores MFI board members’ awareness and perception of their roles and how this affected their participation in the board and their influence on it.

 

The second phase examines the effect of specific board member characteristics (external representation, international source, education, and gender) on the economic and social performance of the MFI through a survey of 337 board members in Kenya and Tanzania. The pilot study established that although MFI board members are largely aware of their role, a few are either not aware or assertive enough, and this impacts the extent of their influence.

 

Contrary to expectations, less educated, female, and local directors bring about superior financial and social performance of MFIs. The main implication is that we need to look beyond the traditional dimensions of capacity when considering what resources are appropriate for supporting MFIs, including at the board level. Specific policy measures are recommended.

 

 

 

To view full report click Here.

 

If you would like to request a hard copy, please contact REPOA or REPOA’s  Communications Officer.

 

 

 

 

 

 

 

 

REPOA provides research grants for undertaking research on matters relating to local governance, growth, social protection and climate change.

Join us on

 

 

 

 

 

-      I 

 

REPOA
P.O. Box 33223, Dar es Salaam, Tanzania • 157 Mgombani Street, Regent Estate
Tel: +255 (0) (22) 2700083 / 0784 555 655 • Fax: 255 (0) (22) 2775738
Email:
repoa@repoa.or.tz
www.repoa.or.tz

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Hannah Mwandoloma

Communications Officer

 

............................................................

REPOA, undertakes and facilitates research, conducts and coordinates training, and promotes dialogue and development of policy for pro-poor growth and poverty reduction.

Please consider the environment before printing this email.

 

 

[wanabidii] Museveni na Kagame Kuiponza Afrika ya Mashariki

Thursday, January 31, 2013 Add Comment
[wanabidii] Museveni na Kagame Kuiponza Afrika ya Mashariki
Ndoto ya siku nyingi ya Wanyarwanda (Watusi) ya KUTEKA na KUTAWALA
eneo lote la Maziwa makuu (DRC, Uganda, Rwanda, Burundi, TZ na Kenya),
inaelekea kutimia.

Baada ya kuzitawala Uganda (Gen.Yoweri K. Mseveni), Rwanda (Gen. Paul
Kagame) na DRC (Gen. Hypolite Adrian Christophe Kanambe a.k.a Joseph
Kabila ambaye ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya P. Kagame yaani
James Kabarebe).

Sasa Madikteta hao 3 wa maziwa makuu wako hatua za mwisho za kuivamia
TZ aidha Kijeshi kama walivyochukua madaraka ya nchi hizo au kiujanja
kupitia rushwa wanazowahonga viongozi wetu na kujikuta wakiwagawia
vyeo sekta vyeti za maofisa wa TISS, Ofisi za mawaziri, na hata Ikulu
eti wengine ndio washauri na walinzi wa Marais wetu, Uhamiaji, TRA,
TBS, Polisi, Magereza, JWTZ nk, ardhi wanapewa kama njugu hidi ekari
500, hivyokujikuta TZ ikichukuliwa bila jasho.

Kila kukicha tunashuhudia watu wanaozikosoa serikali wanavyopigwa /
kuuawa /kubambikiziwa kesi na polisi katika nchi zote hizo na TZ
ikiwemo, Uganda (Kiza Besige), Rwanda (Victoire Ingabire) na TZ
Viongozi wa upinzani hasa CDM na CUF na kwa watetezi wa wanyonge Msitu
wa Mabwepande ni kiboko yao, hawa ndio mkobozi na tegemeo la wananchi
wa nchi hizo, Hii ni kwasababu maofisa polisi nchi zote hizi lao ni
moja kukuza (Himaya ya watusi) kwa TZ maofisa polisi wazalendo ni
wachache zaidi 80% wananuka rushwa na wengine ndio hao wenye asili ya
Kagame na wengine ni shame sake Kagame (wameoa wanyarwanda), ndio
maana serikali ya TZ na mipango yake iko uchi mbele ya Kagame na
Mseveni, mipango iayopangwa Dar es salaam inafika Kigali na Kampala
ndani ya masaa 24.

UPANUAJI WA HIMAYA YA WATUSI AFRIKA MASHARIKI NA KATI

Madikteta hawa 3 wa eneo la maziwa makuu Y.Museveni, P. Kagame na
J.Kabila waliandaliwa nchini TZ chini ya uongozi wa J.K.Nyerere kwa
nyakati tofauti-tofauti ndio maana 85% ya walinzi wa J.K. Nyerere
walikuwa Wanyarwanda (watusi). 1959 Tanganyika ilipokea wakimbizi wa
Kinyarwanda kutoka Rwanda na kuwapeleka kambini Mwese wilayani Mpanda,
1978 wakimbizi hao wa Kinyarwanda walipewa uraia wa TZ ikiwa ni baada
ya miaka 19 tu ya ukimbizi wao, wanyarwanda hao walisambazwa nchi
nzima, wakiwa kambini mwese walipewa huduma zote muhimu kama elimu,
afya nk serikali ya CCM ilitumia rasilimali za TZ kuwasomesha ikiwa ni
hatua muhimu ya kuwaandaa kwa ajili ya kurudi Rwanda kuitawala.

RPF waliandaliwa vizuri TZ, Rais P. Kagame alisomea na kuandaliwa
nchini na mafunzo ya kijeshi pia kapatia TZ.Mnyarwanda J.Kabila rais
wa sasa DRC amesomea na kusomeshwa TZ, amesomea pia Chuo cha Maofisa
wa Jeshi Monduli (Arusha-TZ)1972 kwa shingo upande Tz ilipokea
wakimbizi wa kihutu kutoka Burundi na Rwanda, hii ilikuwa baada ya
J.Nyerere kuwakataa, aliwapokea baada ya tamko la rais wa Kenya muda
huo J. Kenyatta kutangazia dunia kuwa kama Nyerere hawataki atatuma
ndege kuwapeleka Kenya Nyerere ikabidi tu awapokee. Wahutu hao
wamepewa uraia wa TZ 2012 ikiwa ni baada ya miaka 40 ya ukimbizi wao,
hawa wao hawajasambazwa nchi nzima,-hawa hawakuandaliwa kurudi
kuchukua madaraka ya nchi zao, elimu mwisho darasa la 7, sekondali
kidato 1-4 vimejengwa makambini mwao miaka 1998 baada ya Kagame
kuichukua Rwanda na kuanza uvamizi DRC, kabla ya hapo hata waliokuwa
wakifaulu kuendelea na elimu ya sekondari majina yao wakuu wa shule za
misingi makambini (watanzania na wengine wanyarwanda) walikuwa
wakiyauza.-wamekuwa wakisingiziwa eti ni waharibifu wa mazingira
(wanakata miti ovyo, wawindaji haramu katika hifadhi za Katavi)

Swali;
1) wanyarwanda miaka hiyo 19 hawakukata miti yeyote?
2) Ikiwa serikali ya TZ iliwapiga marufuku kujihusisha na shughuli
zozote za kisiasa bunduki za kuwindia wanyama wanazitoa wapi?Ukweli-
wameiingizia TZ fedha nyingi kutokana na kilimo chao cha tumbaku.RPF
ya Kagame kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort,
inatekeleza mauaji ya wahutu wote wasomi eti ndio waliosababisha
genocide 1994.

Rwanda genocide/mauaji ya halaiki 1994 Rwanda ina makabila 3,wahutu
85%, watusi 14% na watwa 1%,tangu mwanzo baada ya watusi kufika Rwanda
1500 walilazimisha kuwatawala wazawa waliowakuta (watwa na wahutu)
kwani watusi wanaamini kuwa waliumbwa kwa ajili ya kutawala na
makabila mengine yapo ili yawatumikie wao. Sintifahamu hiyo iliendelea
hadi miaka 1950 pale shujaa Gregory Kayibanda (mhutu) alipodai uhuru,
1959 watusi kwa dharau wakakimbilia TZ wakikataa kutawaliwa na mhutu
mtumwa wao.

1994 watusi hao chini ya RPF ya Kagame akisaidiana na J. Kabila,J.
Kabarebe na K.Nyamwasa kipindi hicho Jean Bikomagu (mtusi na kibaraka
wa Kagame nchini Burundi) waliivamia Rwanda baada ya kutungua ndege ya
rais mteule wa Rwanda Juvenal Habyarima na ujumbe wake wote wakitokea
Dar (TZ) kutokea DRC, Burundi,Uganda na TZ. Wahutu wakaamua kujihami
kwa kutumia mapanga. ICTR ilianzishwa na Kagame ili azidi kuwamaliza
wasomi wa kihutu na ndio maana Kenya iliikataa ICTR katika ardhi yake
sababu ni chombo cha kikabila. ICTR ilikubaliwa kwa sababu Wanyarwanda
wana mizizi mirefu katika sarikali ya TZ, na tayari TZ imeshapata
hasara ya uwepo wa ICTR katika ardhi yake kwani ni RPF ya Kagame kwa
kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort iliyomuua Pr.Jwani
Mwaikusa mtaalamu mzalendo na mhadhiri wa sheria UDSM, J.Mwaikusa
akiwa wakili wa washitakiwa katika ICTR-Arusha alibainisha kuwa
mshitakiwa namba 1 ni P.Kagame kwani bila Kagame na RPF waliotungua
ndege ya J. Habyalimana rais wa Rwanda 1994 genocide isingekuwepo.

Serikali ya CCM ikafunika kombe mwanaharamu Pr. J. Mwaikusa akafa,
akazikwa, akaoza. Serikali ya CCM haikuchukua hatua dhidi ya wauaji wa
Mwaikusa kwasababu na yenyewe huwa inatumia kikosi hicho cha Kagame
kuua inaodhani kuwa wataiumbua H.Mwakiyembe kweye taarifa aliyoitoa
kwa IGP S.Mwema alibainisha kuwa anawindwa auawe na wabaya wake
wamewakodi Wanyarwanda, al-shabab na waganda IGP Mwema akauchuna.

Kagame ndie dikteta wa kwanza duniani kuua watu wengi. A.Hitller
(Mjerumani) inasemekana aliua Wayahudi milioni tano(5,000,000), Idd
Amin (Uganda) inasemekana aliua Waganda laki 3.5 -5, P.Kagame
inasemekana ameua watu milioni sita(6,000,00).

Ushahidi
1. Waliouawa 1994 baada ya genocide isingekuwa Kagame isingetokea,
2. Wakimbizi wa kihutu milioni 2.5 waliouawa na J.Kabila, J.Kaberebe
na K.Nyamwasa mashariki mwa DRC kwa amri ya Kagame,
3. Mauaji ya Jean Bikomagu nchini Burundi,
4. Mauaji ya Laurent Nkundabatware (Nkunda) na M23 mashariki mwa DRC,
5. Mauaji ya watanzania wanaouawa ovyo mikoa ya Kagera na Kigoma
wanyarwanda wanapochungia maelfu ya ng'ombe wa Kagame, Museveni na
mawaziri wao,
6. Mauaji na uporaji unaofanywa na wanyarwanda katika pori la
Biharamulo. Baada ya dunia kuzishutumu Rwanda na Uganda kuwa nyuma ya
M23 na kuomba nchi zijitolee askari kwenda DRC, rais TZ J. Kikwete
kupitia waziri wa ushirikiano wa kimataifa B. Membe kutangaza kuwa TZ
ipo tayari kutoa askari waende DRC, Kagame na Museveni walisusia
tafrija ya wakuu wanchi za jumuiya ya A.Mashariki badala yake walituma
wawakilishi.

Ukweli kuhusu ushirikiano wa J.Kabila, P. Kagame na J. Kabila uko
wazi, kila mara DRC inapovamiwa na Museveni na Kagame jitihada za
Kabila huwa ni usanii tu ili wazidi kuuhadaa ulimwengu,Kabila anakuwa
na kigugumizi kuomba msaada wa kijeshi kutoka SADC, AU na UN na hana
jitihada za kuomba misaada ya mafunzo ya kijeshi kwa wakongomani
wazarendo kutoka mataifa mbalimbali. Uhatari wa kauli ya J. Kikwete
kwa TZ, Baada Kikwete kukubali kupeleka kikosi cha Jeshi DRC, Kagame
na Museveni wamemuwahi kwakuingiza TZ kikosi cha majasusi wao 1400,
1000 wakiwa wa Kagame na 400 wa Museveni, mbali na hao wamepenyeza
askari 35,000 wenye silaha wakiigiza eti ni wachungaji wa ng'ombe
katika mikoa ya Kagera, Kigoma na Geita, idadi ya wanyarwanda
(wanyaru) inaongezeka TZ kila anayeenda Rwanda kusalimia anakuja na
2-3,nendeni mjionee au ulizeni wazawa wa mikoa pia waulizeni wakuu wa
mikoa hiyo.

Wakati hayo yakiendelea Wizara za Mambo ya ndani na Ulinzi ziko kimya,
Ofisi ya Rais kama haioni vile au tuseme wote mmehongwa fedha, ng'ombe
maziwa na mabinti wa Kinyarwanda?

MADHARA YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI KWA TANZANIA.
Jumuiya ya kwanza ya A.Mashariki 1967-1977 ilikuwa na nchi 3
(Tanzania, Kenya na Uganda) ilivujika 1977 baada ya marais wan chi
hizo Nyerere (TZ), Kenyatta (Kenya) na Amin (Uganda) Nyerere alikataa
kukaa meza moja na Rais Amin wa Uganda, kwa sababu Amin alikuwa
mwuaji. "Siwezi kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu" alitamka
Rais Nyerere, ulimwengu wote ukamuunga mkono hata mgomo wake
uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya A.Mashariki. Je serikali ya
CCM haioni kuwa Kagame na Museveni wameloa damu kuliko Amin? Na ni
waroho wa madaraka kuliko Amin?

Shilikisho la sasa la A.Mashariki (Rwanda, Burundi, Kenya na
TZ)linaelekea kuwa chini ya rais mmoja, na ndio janja ya Watusi
kutawala eneo lote la maziwa makuu.Tayari rais Museveni wa Uganda
tangu 1986 hadi sasa ametangaza mara nyingi kuwa anafaa na ana haki ya
kuwa rais wa kwanza wa Shilikisho la A.Mashariki watanzania tumelala
usingizi wa pono, Museveni ameshamuweka mototo wake wa kiume kuwa
kamanda wa kikosi maalumu cha ulinzi wa rais (yeye), kaka yake
Museveni ndie mkuu wa mjeshi ya Ulinzi ya Uganda.

Kagame nae ameshajiongezea umri wa uchaguzi kutoka alioukuta hadi
miaka 7 sasa, pia kuna dalili na fununu za kutosha kuwa anataka
aiongoze Rwanda mpaka atakapokufa, kwani anaogopa kushitakiwa kama
akistafu. 1999 na 2000 marais 3 Mkapa (TZ), Moi (Kenya) na Museveni
(Uganda) walifufua Jumuiya ya A.Mashariki na kuazimia ifikie kuwa
shilikisho kamili chini ya rais mmoja kama ilivyo USA. Ikumbukwe kuwa
ndoto za Wanyarwanda (Watusi) ni kutawala A.Mashariki kupitia EAC,
A.Mashariki na kusini kupitia SADC, Afrika yote kupitia AU ili
kutimiza itikadi yao kuwa wameumbwa ili watawale tu. Kagame juu ya M23
baada ya ulimwengu kumshutumu yeye na Museveni akihutubia Wanyarwanda
alisema" Rwanda imeamua kutulia kwanza lakini hakuna nchi hata moja ya
SADC Rwanda inayoiogopa"USALAMA WA TANZANIA UKO REHANIKutokana na
serikali ya CCM kuabudu rushwa na ufisaidi, Viongozi wa CCM
wamelazimisha watanzania kuingia katika shirikisho hilo bila wao
wenyewe kuridhika,na Mipaka ya nchi iko wazi bora tungekuwa na vikosi
hata mugambo/sungusungu mipakani vingekuwa vinapigana na wavamizi hao
Kagera na Kigoma afadhari DRC wao walikuwa na Mai-mai mipakani mwa
Uganda na Rwanda ambao walijihahidi kuwakabil wavamizi Kagamena
Museveni, mipakani uhamiaji wako usingizini/ rushwa tu na wengine ndio
wanyarwanda sasa watawazuia ndugu zao wasiingie?

1) Ardhi wamechukua wanyarwanda kupitia sera ya Kagame na Museveni
"Tusi expansionism" ukanda wote wa Afrika mashariki na kati (DRC,
Burundi, Rwanda, Uganda, Tz na Kenya). Mikoani Kagera, Kigoma na Geita
wanyarwanda wana ardhi ekari hadi 500 mtu mmoja, huku waha, wahaya na
wasukuma ambao ni wazawa hawana hata mita 1,waziri wa A.Mashariki
S.Sitta ni shahidi 2012 akiwa Kigoma ziarani alisema "kuna wanyarwanda
wana hadi ekari 500 mtu mmoja na pia serikali ya TZ imetelekeza mikoa
ya mipakani kuliko nchi nyingine za Jumuiya ya A.Mashariki".
2)Ng'ombe wa wanyarwanda wana malisho mazuri mikoa ya Kagera, Kigoma
na Geita hii imepelekea wasukuma wakimbilie Mikoa ya Katavi na Rwukwa
kwa ajili ya kutafuta malisho ya ng'ombe wao na pia kwa usalama wa
maisha yao wote tu mashahidi kilichowahuta wasukuma Buligi wilayani
Muleba baada mkuu wa wailya ya Muleba ku-Chukua Chake Mapema milioni
100kutoka kwa wanyarwanda.
3)Ujenzi wa makanisa yao tu mikoani Kigoma, Geita (Katoro CCM) ,Kagera
(Butera) na sehemu nyinginezo.
4)Ujenzi wa nyumba za kulala wageni (gest houses) mikoa ya Kagera,
Kigoma (Coast View),Geita ('GK Gest House" Katoro- CCM na Geita mjini)
na nyingine nzuri sehemu mbalimbali za mikoa hiyo.5) Wizi, Ujambazi na
Uporaji,mwezi wa 1/2013 Gazeti la mwananchi lililipoti kuwa askari wa
Jeshi la ulinzi la Rwanda (RPF) liliteka Hiece 5 zilizokuwa zikitokea
Ngara na Benako katika pori la Biharamulo abiria walinyang'anywa mali
zao zote kasha wakacharazwa viboko.

Wakati hayo na mengine mengi yakitokea serikali ya CCM inaonekana
kuridhishwa na hali hiyo wako kimya kama maji mtungini.
1) Serikali ya CCM iko kimya juu ya wavamizi hao wanaomega na kugawana
ardhi yetu kama mbwa mwitu wenye njaa wakamatapo swala, vigingi vya
mipaka ya Uganda vilishang'olewa, waganda chini ya Dikteta Y. Museveni
wanalima na kufuga ng'ombe nchini mwetu.
2) Rais wa awamu ya nne chini ya CCM kipindi cha vuguvugu la katiba
mpya aliwahi kusema kuwa haoni tatizo katiba mpya ikiruhusu uraia wa
nchi mbili,(ikiwa katiba itaruhusu uraia wan chi mbili ndani ya siku 5
TZ yote inachukuliwa.
3) Serikali ya CCM imeiingiza TZ katika Shilikisho la A.Mashariki bila
ya wao wenyewe kukubali na pia ikijua bayana kuwa ardhi yetu inamezewa
mate, kisa tu eti wengine kati yao watakuwa wabunge katika Shilikisho
hilo (tama ya madaraka).
4) Serikali ya CCM kuwakemea Museveni na Kagame kwa uroho wao wa
madaraka ili ikibidi Shilikisho hilo la A.Mashariki likavunjika.Dunia
nzima inajua fika kuwa migogoro isiyoisha eneo la maziwa makuu
inasababishwa na Madikteta Museveni na Kagame ila tu eti serikali ya
CCM haijui inasababishwa na nini, Mfano ni misaada ya Kagame kwa Jean
Bikomagu (Burundi),Laurent Nkundabatware a.k.a Nkunda na M23 (DRC)
5) Serikali ya CCM iliruhusu ICTR-ardhini mwake (Arusha) chombo cha
Dikteta Kagame cha kumaliza wahutu wasomi ili aishi kwa raha mstarehe.
6) Serikali ya CCM iliwapokea wauji wa rais Laurent Kabila kabla
hawajasafilishwa kwa siri kwenda Ulaya (Norway) 7) Serikali ya CCM
haijamchukulia hatua mkuu wa wilaya ya Muleba aliyeteketeza nyumba 500
za wasukuma kupitiaeti 'operesheni okoa mazingira' dhidi ya wavamizi
haramu,akawaacha wanyarwanda nakuteketeza wasukuma.
8) Serikali ya CCM imewaajiri wanyarwanda katika nafasi mbalimbali;
Uhamiaji,TBS,Usalama wa taifa, JWTZ, Polisi, Magereza, wengine ni
Wabunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano kupitia CCM nenda mikoa y
Kigoma(Mjini) , Kagera na Geita (Busanda Yule aliyefariki) Ndani ya
ofisi za mawaziri,wengine ni washauri wa Rais. Madini ya DRC na TZ
ndio yanayojoijenga nchi ya Rwanda kupitia wanyarwanda walioshikilia
sekta nyeti katika nchi hizo, Wanyarwanda waishio TZ wanashirikiana na
wenzao nchini Rwanda ikiwa ni pamoja na kuchanga michango ya
kuwasaidia waasi DRC kupitia RWATAFA (Rwanda Tanzania Friendship
Assiciation) na TARAFA. (Tanzania Rwanda Friendship Association)

NINI SERIKALI YA TANZANIA IFANYE?
1) Serikali ipige marufuku RWATEFA (Rwanda Tanzania Friendship
Association) na TARAFA (Tanzania Rwanda Friendship Association) nchini
pamoja na kuwa ni vyombo vilivyoundwa kisheria kwani vinasaidia Waasi
DRC.
2) Serikali iunde vikwazo dhidi ya Rwanda na Burundi ili zitoke katika
Jumuiya ya A.Mashariki (Kagame ni muuaji) ikishindikana TZ na izieleze
nchi za Kenya na Burundi ukweli kuwa imejitoa sababu shilikisho hilo
Watusi/wanyarwanda wanataka kulitumia kutimiza azma yao ya kutawala
A.Mashariki na kati yote.
3) Serikali ya TZ iwaambie waziwazi Kagame na Museveni kuwa nyinyi ni
waroho wa madaraka na ni wauaji ndio maana eneo la maziwa makuu
machafuko hayaishi kwa sababu yenu.
4) Serikali ifanye uchunguzi dhidi ya wanyarwanda walioshikilia nafasi
sekta mbalimbali nchini huku watanzania wazawa wakiambiwa ajira
hakuna.
5) Serikali ya TZ ianzishe majeshi ya ya asili (Sungusungu na mgambo )
na wapewe kibali cha kusaka na kuwaua ng'ombe wote wa wanyarwanda na
waganda mikoa ya Kagera Kigoma na Geita wanaolishwa nchini mwetu huku
ng'ombe wa wazawa wasukuma wakikimbiziwa mikoa ya Katavi na Rukwa.
6) Viongozi wa mitaa/vitongoji, vijiji,kata, tarafa na wilaya kwa
kushirikiana na wananchi wa maeneo husika nchi nzima wanawajua fika
wavamizi haramu na adha zao wawaorodheshe kwa hatua zaidi zaidi na
hatua hizo zisichelewe nchi yazenda mwanawasu.
7) Serikali ifutilie mbali ICRT katika ardhi yake kwa kuwa ni chombo
cha kikabila cha Kagame (watusi) kuwamaliza wahutu wasomi na wale wote
wanaosema kuwa Kagame ashitakiwe mfano Pr.J Mwaikusa.
8) Serikali iwashughulikie mkuu wa wilaya ya Muleba na wale wote
alioshirikiana nao kuchoma nyumba za wasukuma Buligi baada ya kuhongwa
na wanyarwanda.
9) Serikali ya TZ isaidie ulimwengu kujua vyanzo vya mauaji ya rais
Melchior Ndadaye (Burundi) yaliyofanywa na J.Bikomagu kwa ushirikiano
wake na Kagame, utunguaji wa ndege iliyowabeba rais Habyarimana
(Rwanda) na rais Ntaryamira (Burundi), rais L. Kabila (DRC) kwani TZ
inajua wauaji wa marais hawa.
10) Serikali ya TZ iwanyang'anye ardhi wanyarwanda na warundi mikoani
Kagera na Kigoma .

MASWALI;
1) Visa vya kidini Ukisto na Uislam vilivyoshika kasi kubwa ghafla
hivi nchini vimetoka wapi? Hivi serikali ya CCM haimjui
aliyevianzisha ? CCM mmeharibu nchi kwa udini mulioueneza.
2) Hivi CCM hamuoni kuwa muko wabinafsi na mnaabudu rushwa kwa kuwapa
nyeo wanyarwanda Jeshini, Polisi, Wizarani, Ikulu, Uhamiaji, TBS, huku
mukiwandanganya watanzania eti ajira hakuna?
3) Malawi ikiungana na Museveni na Kagame TZ itasalimika?
4) TZ ikitokea ikavamiwa na Museveni na Kagame wanyarwanda walioko
Jeshi la TZ watasaidia upande gani?
5) Hivi viongozi wote wa CCM ni mashemeji wa Kagame?
6) Hivi J. Kikwete, G. Bilal, S. V. Nahodha mnafikiri mmasai na
mnyarwanda wakiomba kujiunga na Jeshi la Polisi TZ Kamanda Chagonja
anamuajiri na nani? Mmasai ? Thubutu,,,,

http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/393317-jumuiya-ya-afrika-mashariki-kuvunjika-uroho-wa-madaraka-wa-museveni-na-kagame-vyaiponza.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.