Wakati kuna mapungufu mengi sana ua uongozi wa sasa wa Chadema ambayo yanahitaji kurekebishwa ndani ya Chama, Zitto angetumia mapungufu hayo kama advantage kwake walau kwa kuonyesha kuwa ni mwanachama mwema kwa kukaa kimya hadi sekeseke hili liishe. kutapatapa kwake kwenye social media na kwa wananchi huku wadau kadhaa wa CCM wakionekana kuratibu mikutano yake, kunazidi kumfanya si tu kumuonyesha kama mtu asiye na utashi wa kusoma alama za nyakati bali pia kama mtu ambaye 'amenunulika' hasa kwa watanzania wachache wenye critical thinking!
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments