Watu wawili wamefariki dunia papo hapo wilayani Bukombe mkoani Geita wakitumia usafiri wa bodaboda kufuatia pikipiki waliyokuwa wakisafiria kuteleza kwenye mchanga ikiwa kwenye mwendo kasi na kisha kukanyagwa vibaya vichwani na gari aina ya Noah ambayo walikuwa wakipishana nayo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, dereva wa bodaboda ambaye alikuwa na abiria wake mwanamke mwenye mizigo, alikuwa katika mwendo wa kasi.
Hatua kadhaa kabla ya kupishana na gari hilo, matairi ya pikipiki yake yalishindwa kuhimili mchanga uliopo barabarani ndipo alipokosa uwiano wa kumiliki chombo hicho cha usafiri na kutereza kisha wakaanguka katikati ya barabara.
Sekunde chache gari la abiria aina ya Noah ambalo mpaka shuhuda huyo anaondoka kwenye tukio la ajali hakufanikiwa kulinasa namba zake likiwa kwenye kasi liliwapitia vichwani bodaboda na abiria wake ambao walikufa papo hapo.
Read more: http://habarizabongo3.blogspot.com/2013/11/ajali-ya-pikipiki-yaua-wawili-jijini.html#ixzz2js6DYvC5
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments