Kama kuna jambo linaonyesha namna taifa letu lilivyopita katika changamoto kubwa za kiuongozi na rushwa ni hili swala la uhamiaji haramu na utaratibu wa namna ya kuukabili ulioanzishwa na mkuu wa nchi na kupachikwa jina la operation Kimbungaa. Kwa mtu anayeishi mitaani akikaa na kufanya kazi na jamii ya raia wa nchi jirani au anayetoka mikoa ya mipakani atakubaliana nami kuwa, uwezo wetu wa kupanga na kutekeleza mambo hasa haya yenye sura ya kitaifa ni mdogo mno kiasi cha kujidhalilisha wenyewe mbele ya jirani na wageni wetu. Kwa kifupi yapo mapungufu yanalifanya zoezi zima lisiwe na maana yoyote zaidi ya mtu kutembea uchi barabarani huku akijaribu kuwa lazimisha wanaomuona waseme eti amevaa nguo, waseme amevaa au hajavaa ukweli unabaki kuwa hajavaa. chukua mfano.
1. Wakati wanajua kuwa hakuna mtu anayeishi kijijini bila kufahamika na wanavijiji, kwani kila kijiji huwa kinakuwa na jamii za watu wanaofahamiana, wanatoka maafisa wa idara ya uhamiaji na kwenda kukamata raia kuwatisha na kuwadai rushwa. hawapitii kwa viongozi wa vitongoji wala wa vijiji.Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments