[wanabidii] Lowassa mtemi mpya wa wanyamawezi

Monday, September 16, 2013
kuna vituko vya wanasiasa, hivi inakuwaje hadi mmasai au mkwere atawazwe kuwa mtemi wa kisukuma, je zile mila za kabila husika anazijua kweli? kwa mfano baadhi ya makabila kama wakurya na wamasai wanatahili wavulana harafu  leo umtawaze mtu wa kabila ambalo halifujati  hiyo mila , yaani hajatailiwa halafu  awe mtemi wa kabila linguine............huu nao ni mjadala lakini staki kwenda mbali
 
nacho jiuliza alikuwa wapi Samweli Sitta wakati Lowassa anatawazwa kuwa mtemi wa kinyamwezi, yaani kama tukio lingekwenda Live angechungulia kupitia tv sasa ilibidi asubiri hadi taarifa ya habari, athibitishe kama kweli wanyamwezi wameamua kumtosa.
 
jiulize upo kwenye matembezi unarejea nyumbani kwako unamkuta  mwanaumme mwingine anaandaliwa sherehe ya kutawazwa kuwa mkuu  wa familia yako utafanyeje?????????????

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments