[Mabadiliko] Miaka Saba Ya Mjengwablog; Ahsanteni Nyote Kwa Kushiriki Kuadhimisha!

Saturday, September 21, 2013



Ndugu zangu,

Juzi Septemba 19, Mjengwablog iliazidhimisha Siku ya Kuzaliwa kwake. Kwa niaba ya Timu nzima ya Mjengwablog, natumia fursa hii kuwashukuru nyote mlioshiriki kwa njia moja au nyingine katika kuadhimisha siku hiyo.

Salaam zenu za pongezi ilikuwa ni kama mafuta yaliyoongezwa kwenye gari yenye kuhitaji mafuta, na iliyo kwenye safari ndefu.

Ahsanteni sana.

Maggid Mjengwa.
Mwenyekiti.
http://mjengwablog.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments