FFU wa Ngoma Africa band wamechukua tena International Diaspora Award 2013
-- Bendi bora ya kiafrika ulaya.
Mabalozi wa kiafrika nchini Ujerumani waipongeza FFU !
Maelfu ya washabiki wadatishwa akili na Ngoma Africa Band,
Mzimu wa Dansi "Ngoma Africa Band umetimiza miaka 20 na bado unatisha !
Si nyingine bali Ngoma Africa band aka FFU ilifanikiwa kuutetea ubingwa wake wa bendi bora na kujichukulia Tuzo ya kimataifa ya IDA kule mjini Tubingen,Ujerumani katika maonyesho ya kimataifa ya International African Festival Tubingen 2013.
Bendi hiyo maarufu kwa kuwatia kiwewe washabiki na mdunduko wake imevunja rekodi kwa kuwa na washabiki wa kimataifa kila pembe.
Katika maonyesho ya International African festival 2013,yaliyofanyika mjini Tubingen,ujerumani Ngoma Africa band imekubalika sio na washabiki tu bali pia
mabalozi kutoka nchi mbali mbali za kiafrika nchini Ujerumani ! bendi
Tusikose kuwasikiliza ffu at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 Comments