[wanabidii] HODI HODI WANABIDII

Monday, August 05, 2013
Ndugu  zangu  Wanabidii ni  muda  mrefu  mimi  sijasikika  wala  kuonekana  kwenye  Mtandao.
Nilikuwa  nashindwa  kuwapata  na  pia  kuna  kipindi  niliumwa  karibu  kuaga  Dunia  lakini  niliweza  kunusurika  na  nipo.
Poleni  na  shughuli  za  Jukwaa  maana  naona  Limeingiliwa  na  Matusi  ambayo  sio  Jadi  yetu.
Bai  nimerudi  tutakuwa  pamoja.
Amani  iwe  juu  yenu.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments