[Mabadiliko] Julius Nyerere Alipostaafu Serikali Ilimpa Gari Hili Atumie...!

Sunday, July 28, 2013


Ni  gari hii ambalo enzi hizo mitaani ikijulikana kama ' Macho ya panzi'. Mwalimu hakuwa na makuu. Hili ndilo gari alilotumia muda wote baada ya kustaafu.

 Na ndilo lililompeleka Airport kwenye safari yake ya mwisho kwenda matibabuni Uingereza. Mwalimu hakurudi tena kuja kulipanda gari hili kumrudisha nyumbani kwake Msasani.

Baadae lilitumiwa na Mama Maria Nyerere, kisha nae, akalikabidhi kwa hiyari yake Makumbusho ya Taifa.

Liko pale Makumbusho ya Taifa Mtaa wa Shaaban Robert. Nayo ni historia yetu.
Jumapili Njema.
Maggid,
http://mjengwablog.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments