[Mabadiliko] Neno La Leo; Na Iwe, Kwenye Mafanikio Ya Mwanamme, Kando Yake Kuna Mwanammke...

Sunday, June 30, 2013


Ndugu zangu,

Inasemwa, kuwa kwenye mafanikio ya mwanamme nyuma yake kuna mwanamke. Dhana hii ina walakini, maana, hata hapa, kwenye mafanikio ya mwanamme, tunaamua kwa makusudi kumweka mwanamke nyuma.

Ni kwa nini mwanamke asiwe kando au hata mbele pale kwenye mafanikio ya mwanamme? Na mara nyingi huo ndio huwa ukweli, lakini, kwa makusudi ama kwa kutotambua, huwa tunaufumbia macho ukweli huo.

Ndugu zangu,

Naiangalia ziara ya Barack Obama Afrika na yale yenye kusemwa na kuandikwa. Nayaona mapungufu, yumkini yanatokana na mitazamo yetu inayotokana na makuzi yetu. Kwamba hata katika hili la mafanikio ya Obama, tunamwona mkewe, Michelle Obama, kuwa ni kiumbe aliye nyuma ya mafanikio ya mumewe, Barack Obama. Na tunapojaribu kumwangalia Michelle, basi, yanaandikwa yenye kuhusu urembo wake, ama mavazi na yale ya jikoni na...... Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/3621-neno-la-leo-na-iwe-kwenye-mafanikio-ya-mwanamme-kando-yake-kuna-mwanamke.html#.UdCJbZyNCAg

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments