[Mabadiliko] Historia Ya Kombe La Dunia ( VI)- Kamwe, Brazil Hawasusii Kandanda...!

Sunday, June 30, 2013


Na Maggid Mjengwa,

TUMEONA, kuwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilifumuka mwaka mmoja
baada ya kumalizika fainali za tatu za Kombe la Dunia kule Ufaransa, 1938.
Vita hivyo vilivyoanzishwa na fashisti Adolf Hitler wa Ujerumani akisaidiwa
na swahiba wake Benito Mussolini wa Italia vilipelekea kusimamishwa kwa
michuano ya Kombe la Dunia.

Tangu mwaka 1938, miaka 12 ilipita bila kufanyika kwa fainali za
Kombe la Dunia. Hivyo basi, baada ya Vita ya Pili ya Dunia, uongozi wa FIFA
ulikaa chini na kulipangusa vumbi Kombe la Dunia tayari kwa kujiandaa na
fainali nyingine za mwaka 1950. Kombe hilo lililojulikana kama " Coupe Jules
Rimet" kwa lugha ya Kifaransa, lilitengenezwa kwa dhahabu tupu.

Katika maandalizi hayo......Soma zaidi...http://mjengwablog.com/michezo/item/3604-historia-ya-kombe-la-dunia-vi-kamwe-brazil-hawasusii-kandanda.html#.Uc_FlpyNCAg

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments