[wanabidii] Naibu Waziri wa Elimu sasa mambo yake safi

Monday, March 25, 2013
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti.
 
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/-/1597296/1729652/-/item/0/-/mxbsy6/-/index.html

Share this :

Related Posts

0 Comments