[wanabidii] Mh. Bernard Membe-Rais Mtarajiwa:Hii Imekaaje???

Monday, February 25, 2013

Wanabidii,

Leo asubuhi saa 12:00 nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari kutoka redio Magic FM.Walikuwa wakielezea mkutano wa Mh. Bernard Membe na Mh. Yousuf bin Alawi bin Abdulla wa Oman.Katika taarifa hiyo mtangazaji alimtaja Mh. Membe kama Rais Mtarajiwa.Hivi wanabidii hii imekaaje?Ni sahihi walivyofanya hawa Magic FM?

 

Best Regards.....?,

Constantino Kudoja

Senior Power Plant Technician-BO

Zanzibar Telecom Limited

P.O.Box 77052

Dar EsSalaam

Tel. 077 3131164

 

Share this :

Related Posts

0 Comments