Kaka Lwegasira,
Samahani sana, kwani wengine huwa tupo kidogo ukumbini na baadae tunapotea na kwahivyo hatuyajui yanayotokea.
Hivyo huu mradi wetu wa benki umefikia wapi na vitu gani vinavyotukwamisha mpaka hivi sasa?
Naomba msaada wako Kaka Lwegasira.
Kila la kheri.
//John Nkumbaruko.
0 Comments