[wanabidii] Viongozi wa Uamsho hawatendewi haki gerezani

Thursday, November 08, 2012
"MAWAKILI wa Sheikh Farid Hadi Ahmed na wenzake wameilalamikia ukiukwaji wa haki za binaadamu wanaofanyiwa 
wateja wao kwa kunyimwa haki zao za msingi na kulalamikia hali mbaya ya gerezani tangu kukamatwa kwao wiki mbili zilizopita." 

Share this :

Related Posts

0 Comments