[wanabidii] Ushauri: Mifuko ya Hifadhi ya Jamii iwe chini ya Wizara moja - Mwanzo

Thursday, November 01, 2012

Mwanzoni mwa mwezi huu Mfuko wa Pensheni wa PPF uliandaa Mkutano wa Wanachama na Wadau wake mjini Arusha ukiwakutanisha zaidi ya washiriki 500 kutoka ndani na nje ya nchi. Mada nyingi zilijadiliwa, haya ndiyo Mwandishi Wetu aliyokusanya.

SERIKALI iangalie uwezekano wa Mifuko yote ya Hifadhi ya Jamii kusimamiwa na wizara moja ili kurahisisha uratibu, ni kati ya maazimio yaliyopitishwa mwezi huu katika Mkutano wa mwaka wa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliofanyika Arusha.

Kwa sasa Mifuko hiyo husimamiwa na wizara mbalimbali zikiwamo za Kazi, Fedha, Afya na Tawala za Mikoa, hali hiyo ikielezwa kwamba inasababisha uratibu kuwa mgumu.


http://wotepamoja.com/archives/9921#.UJKHDQOGkXc.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments