[wanabidii] Askofu Kilaini Akanusha Kuzungumza Na Gazeti La Mwananchi Kuhusu CCM - Mwanzo

Friday, November 16, 2012
Kwa masikitiko makubwa nimesoma katika gazeti la Mwananchi kwamba nimeiponda safu ya uongozi na Sekretarieti ya CCM.

Mimi sijaongea na gazeti lolote juu ya uongozi wa CCM na wala sina nia wala sababu ya kuuponda uongozo huo.

Ni vibaya kwa gazeti lo lote lile kutumia jina la mtu kwa kueneza maoni yake. Kama ni waungwana, natumaini watasahihisha waliyoyaandika.

Nasikitika sana kwa waliokwazwa na hilo.

Askofu Method Kilaini.
Bukoba Catholic Diocese.
(anwani pepe imehifadhiwa)


http://wotepamoja.com/archives/10520#.UKZXiDMW1XE.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments