"Sambamba na hilo alisema kuwa sheria hiyo inalenga kuwapatia vitambulisho wakaazi wote waliopo Zanzibar wakiwemo wageni wote sio kutoka Bara peke yake lakini hata kutoka nje ya nchi kama vile Italy,Marekani,Ufaransa,Uingereza,Kenya,Uganda,Ghana, hivyo sheria ina nia nzuri na kuwaomba kwa wale wenye fikra potofu au kupotoshwa kuachana na fikra hizo wajue kuwa lengo ni kuwatambua wote."
Related Posts
- [wanabidii] Africa: Merck Supports Free Diabetes Screening For More Than 19,000 Community Members in Africa and India on World Diabetes Day
- [wanabidii] New content updates
- [Mabadiliko] MWIGAMBA KATIBU MKUU ACT ANAONGEA NA WANAHABARI MUDA HUU
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] MOTO JENGO LA MACHINGA COMPLEX ILALA
- [wanabidii] Saying NO TO DOMESTIC VIOLENCE!!...INAANZA NA WEWE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments