"Sambamba na hilo alisema kuwa sheria hiyo inalenga kuwapatia vitambulisho wakaazi wote waliopo Zanzibar wakiwemo wageni wote sio kutoka Bara peke yake lakini hata kutoka nje ya nchi kama vile Italy,Marekani,Ufaransa,Uingereza,Kenya,Uganda,Ghana, hivyo sheria ina nia nzuri na kuwaomba kwa wale wenye fikra potofu au kupotoshwa kuachana na fikra hizo wajue kuwa lengo ni kuwatambua wote."
Related Posts
- [wanabidii] Press Freedom Index 2011 - 2012
- [wanabidii] How to solve traffic jams by Jonas Eliasson
- [wanabidii] Obama: Couldn’t be prouder’ of Susan Rice
- [wanabidii] Global Competitiveness Report 2011-2012
- [wanabidii] Dear Christians, are you offended by this painting? - Mwanzo
- [wanabidii] Let us support the New Traffic Rules
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments