[wanabidii] WAZANZIBARI WAFAFANUA JUU YA KUWAORODHESHA WABARA KAMA WAGENI!!!

Wednesday, October 17, 2012

"Sambamba na hilo alisema kuwa sheria hiyo inalenga kuwapatia vitambulisho wakaazi wote waliopo Zanzibar wakiwemo wageni wote sio kutoka Bara peke yake lakini hata kutoka nje ya nchi kama vile Italy,Marekani,Ufaransa,Uingereza,Kenya,Uganda,Ghana, hivyo sheria ina nia nzuri na kuwaomba kwa wale wenye fikra potofu au kupotoshwa kuachana na fikra hizo wajue kuwa lengo ni kuwatambua wote." 



Share this :

Related Posts

0 Comments