"Sambamba na hilo alisema kuwa sheria hiyo inalenga kuwapatia vitambulisho wakaazi wote waliopo Zanzibar wakiwemo wageni wote sio kutoka Bara peke yake lakini hata kutoka nje ya nchi kama vile Italy,Marekani,Ufaransa,Uingereza,Kenya,Uganda,Ghana, hivyo sheria ina nia nzuri na kuwaomba kwa wale wenye fikra potofu au kupotoshwa kuachana na fikra hizo wajue kuwa lengo ni kuwatambua wote."
Related Posts
- Re: [wanabidii] JAJI WARIOBA APECHE ALOLO
- Re: [Mabadiliko] MAZISHI YA RAIS SATTA
- Re: [Mabadiliko] MKUTANO WA ACT JANA TEMEKE
- Re: [Mabadiliko] Rais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
- Re: [Mabadiliko] WANANCHI WANA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA WAGOMBEA BINAFSI?
- Re: [wanabidii] Re:Mkapa:Tusiache watu wazuri kwa kashfa zisizo na mashiko
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments