[wanabidii] Vigogo Waliokwepa Kuhojiwa Na Kamati iliyochunguza TPA kuhojiwa na Waziri Mwakyembe - Mwanzo

Monday, October 22, 2012

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amekabidhiwa ripoti ya uchunguzi wa utendaji kazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), huku akitoa onyo kali kwa vigogo waliokwepa kuhojiwa na kamati kwa visingizio mbalimbali akisema ni lazima watahojiwa tu.

Dk. Mwakyembe alitoa kauli hiyo muda mfupi baada ya kukabidhiwa ripoti hiyo yenye kurasa 285 na Mwenyekiti, Wakili Benard Mbakileki, na kuongeza kuwa kama suala analotaka kuhojiwa mhusika linahusu polisi, atapelekwa mbele ya jeshi hilo.


http://wotepamoja.com/archives/9471#.UITlqixD4Q8.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

Share this :

Related Posts

0 Comments