[wanabidii] Tetesi za kupigwa Risasi na kuuwa RPC wa Mwanza Saturday, October 13, 2012 Wadau wa Habari na Wakazi wa Mwanza,je hii Taarifa ni ya kweli kuwa Kamanda Liberatus Ballow kapigwa Risasi na kufa wakati anatoka kwenye sherehe ya Harusi jana? Share this :
0 Comments