Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad
amesema mamlaka kamili ya Zanzibar yatapatikana kwa kila Mzanzibari
kuhakikisha anaweka mbele mapenzi yake kwa nchi yake na kuweka kando
itikadi ya chama chake cha siasa.
amesema mamlaka kamili ya Zanzibar yatapatikana kwa kila Mzanzibari
kuhakikisha anaweka mbele mapenzi yake kwa nchi yake na kuweka kando
itikadi ya chama chake cha siasa.
0 Comments