WAZANZIBARI WAISHIO TORONTO WAILAANI ZANZIBAR !!!
- Mayor Rob Ford wa Toronto kupelekewa petition
Hayo yalisemwa leo na Bw. Hassan Othman ambae ni Katibu wa ZACADIA. ZACADIA (Zanzibar-Canadian DiasporaAssociation)
ni Jumuia ya Wazanzibari wanaoishi nje ya Zanzibar katika nchi ya Canada na ni chombo muhimu kinachowaunganisha
Wazanzibari wote wanaoishi ughaibuni Canada.
0 Comments