[wanabidii] Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Anusurika Kifo

Friday, August 31, 2012
Mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani mbeya amenusurika kifo baada ya gari
lake kupigwa mawe na kuchomwa matairi kwa kutumia misumari.

Balaa hilo limemkuta baada ya kutoa amri ya kufungwa kwa chuo cha
uuguzi cha red cros kilichopo wilayani hapo kwa madai kwamba hakina
usajili.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments