[wanabidii] KAMANDA RAS MAKUNJA AHOJIWA NA RADIO BBC KISWAHILI

Thursday, January 19, 2017

KAMANDA RAS MAKUNJA AHOJIWA NA RADIO BBC KISWAHILI !

Awaomba watanzania walio nje kusaidia kuzipa fulsa bendi za nyumbani !


Dar es salaam,
Kiongozi wa bendi maarufu Ngoma Africa aka FFU-Ughaibuni yenye makao nchini ujerumani mwanamuziki Ebrahim Makunja almaarufu Kamanda Ras Makunja mapema tu alihojiwa na radio BBC Kiswahili katika kituo chao Mikocheni jijini Dar,akiongoza mahojiano hayo mtangazaji Omari Mkambala
alimlima maswali Ras Makunja,katika moja ya majibu yake mwanamuziki huyo alisisitiza na kutoa wito kwa watanzania walio nje ya nchi kuwa mstari wa mbele kwa kuwapa ushirikiano bendi na wanamuziki wa Tanzania pale wanapoziona fulsa za kimataifa ii muziki wa Tanzania ufike nje ya mipaka na kupata soko zaidi la kimataifa,Kamanda Ras Makunja alisema muziki wa dansi na mengineyo ya kitanzania ina nafasi nzuri nje ya nchi kama watanzania wenyewe walio nje wakatakuwa na uzalendo wa kuwazipigania
bendi za nyumbani kutumbuiza katika majukwaa kimataifa. msikose kusikiliza mahojiano hayo katika radio BBC idhaa ya Kiswahili.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments