[wanabidii] Wapi kuna semina au kozi za Ujasiria mali?

Tuesday, November 08, 2016
Waheshimiwa wanabidii

Naomba kama kuna anayejua sehemu au chuo kunakotolewa semina au Kozi za Ujasiriamali anijuze. Nina kundi la akina mama nataka wasaidia. 

Natanguliza shukrani 

sylvanus 

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments