[wanabidii] WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA MUHIMBILI KUKAGUA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA RAIS MAGUFULI

Sunday, February 14, 2016
Habari za jioni tafadhali pokea CODES hapa chini.


<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, <a href="https://twitter.com/UMwalimu" target="_blank">Ummy Mwalimu</a> ametembelea hospitali ya Taifa Muhimbili kukagua utekelezaji wa agizo la Rais<a href="http://modewjiblog.com/mambo-matano-muhimu-aliyozungumza-rais-magufuli-katika-mkutano-na-wazee-wa-dar/" target="_blank"> John Magufuli</a> la kuwataka watumishi wa wizara hiyo waliokuwa wakilitumia jengo la Kitengo cha Afya ya Uzazi na Mtoto kuhamisha ofisi zao na kuliacha kwa ajili ya matumizi ya wodi ya wazazi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hospitali hiyo, Waziri Ummy amesema kuwa mpaka kufikia kesho tayari jengo hilo litakuwa limeanza kutumika kwa kuwa watafanya kazi ya kuhamisha makabrasha ya watumishi hao usiku kucha kuhakikisha agizo la Rais John Magufuli linatekelezwa mara moja.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6416.jpg" rel="attachment wp-att-4338"><img class=" wp-image-4342 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6533-300x199.jpg" alt="FSA_6533" width="623" height="413" /></a></strong></span></p>

<h4 style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Picha mbalimbali zinaonesha Waziri Ummy Mwalimu akikagua utekelezaji wa agizo la Rais <a href="http://modewjiblog.com/mambo-matano-muhimu-aliyozungumza-rais-magufuli-katika-mkutano-na-wazee-wa-dar/" target="_blank">John Magufuli</a> pamoja na watumishi na vibarua wakihamisha nyaraka na makabrasha mbalimbali kutoka kwenye jengo lililokuwa likitumiwa kama ofisi na watumishi wa wizara hiyo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam.</strong></em></span></h4>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6416.jpg" rel="attachment wp-att-4338"><img class=" wp-image-4338 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6416-300x199.jpg" alt="FSA_6416" width="626" height="415" /></a> <a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6443.jpg" rel="attachment wp-att-4339"><img class=" wp-image-4339 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6443-300x199.jpg" alt="FSA_6443" width="628" height="416" /></a></strong></span></p>
<a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6511.jpg" rel="attachment wp-att-4341"><img class="wp-image-4341 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6511-300x199.jpg" alt="????????????????????????????????????" width="638" height="423" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6540.jpg" rel="attachment wp-att-4343"><img class=" wp-image-4343 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6540-300x199.jpg" alt="FSA_6540" width="634" height="421" /></a></strong></span></p>
<a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6487.jpg" rel="attachment wp-att-4340"><img class="wp-image-4340 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/FSA_6487-300x199.jpg" alt="????????????????????????????????????" width="640" height="424" /></a>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments