Ndugu zangu,
Akina Dr Mwaka wako wengi. Watu wetu wanateseka. Wanadhulumiwa pia kidogo walicho nacho. Aina hii ya utapeli inakomaa pia kwa vile matapeli hawa wana nguvu ya fedha. Wanajitangaza sana na hata wana uwo wa kununua vipindi kwenye televisheni na radio. Nyingi ya tiba wanazotangaza wana uwezo nazo ni abrakadabra tu. Mamlaka husika ziangalie kwa haraka namna ya kuwadhibiti. Na kuna hawa ' manabii wa siku za mwisho'. Ni janga. Wasicheleweshwe.
Maggid
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at https://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye6hYW-dVL53azdy7ySV1GGKNkLmRe7jSOQCx0WERqYzug%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments