Sidhani kama nitakuwa na huruma ya kumfikilia mtu anayeingia jela kwa makosa ya kutumia mitandao ya kijamii kwa kuzushazusha. Habari zilitapakaa kuwa Rais wa awamu ya tatu amefariki na leo anaonekana ni mwenye afya nzuri tu maana anapanda ngazi kama anashuka. TCRA FANYENI KAZI YENU ME NAWAUNGA MKONO, MIGUU, KICHWA MPAKA KIWILIWILI.
Related Posts
- [wanabidii] World University Rankings 2013-2014
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] MUUNGANO WETU NI WA KUIGWA AFRIKA
- [wanabidii] TAMKO LA KUHUSU KADHIA YA TANZANIA KUJIUNGA NA OIC NA KUREJESHWA KWA MAHAKAMA ZA KADHI
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] Sham Bride Arrested In UK While Trying To Marry Her 4th Nigerian Husband
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments