[wanabidii] SEMINA YA NENO LA MUNGU

Wednesday, November 04, 2015

"Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao". [2 Nya 7:14]

MAHALI :  Dar es Salaam, Kimara Temboni -Mtaa wa Upendo
UKUMBI:  ACMTC – Makutano ya Barabara ya Moa na Umoja
MNENAJI:  Mwl.  Frank Materu na wengine
SIKU :  Alhamisi 5/11/2015
MUDA:  Saa 4:00 Asubuhi hadi Saa 10:00 Jioni
MADA:   Jinsi ya kurejesha Haki na Amani katika nchi
MAWASILIANO:  0715 350 752 au 0754 350 752
KIINGILIO:  Bure-Wote Mnakaribishwa

TOVUTI:
 

Share this :

Related Posts

0 Comments