[wanabidii] Kuelekea uchaguzi mkuu 2015: sidhani kuwa baada ya Slaa kuna anayeweza kujaribu kujifanya haelewi.

Tuesday, September 01, 2015
Watanzania tumo katika mchakato wa kuchagua viongozi wa taifa hili kwa myaka mitano kuanzia mwaka huu.
Kuna mambo mapya katika siasa zetu mojawapo ni wanasiasa wenye ushawishi kuhama kutoka chama tawala. Mtu akisema uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti sana na chaguzi zilizopita hajakosea.
Kwa wazi inajitokeza katika kampeni watu kujitokeza kwa uwazi kushabikia mambo isivyotarajiwa. Kwa mfano:
1) Kuna watu wanashabikia ueneo (Ukanda). Mtu anapindisha hoja ili mradi kuhakikisha uoza wa mtu hauonekani ili aungwe mkono.
2) Kuna watu wanashabikia mtu bila sababu na unafikia mahala unawaza huyu ana nini. Hoja inaletwa na mtu anasema 'mimi huyu tu'. Kuna mambo yamelitesa taifa hili na hayo yanaunda agenda kuu. lakini mwingine anashindwa kwenda na hoja na kuamua kuunga mko0no mtu bila kutaka kumjadili.
3) kuna wale wanaojadili hoja na wako tayari kusema 'huyu niliyedhani anafaa kumbe hafai'.

Kama kuna jambo linasumbua watu ni uadilifu wa wagombea. Tumefika mahala tunashindwa kujikumbusha tuliyowahi kuyasikia.
Leo1 September 2015 Dr Slaa amejitokeza na kueleza sababu zake kujiweka pembeni mwa siasa za vyama. Ameanika nyaraka zinazodhibitisha uharibifu wa watu ambao kwa sababu hiyo kwa machungu au kwa amani tutakubaliana na kwa sababu watu wazima kama tulifikiri fulani anatufaa basi tunarudi kuona kati ya waliobaki nani afadhali.
Mwalimu Nyerere alisema Watanzania wanataka mabadiliko. wakiyakosa CCM watayapata nje ya CCM. Kumbe yanaweza kupatikana ndani ya CCM. Tuichunguze mwendendo wake wasasa. Tukiyaona tuyafuate tuyapate.

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754
834152Skype.nanyaro.ephata
"truth shall set you
free"




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments