<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Maandamano yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Baadhi ya
vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi
mmoja wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani
iliyoadhimishw jijini Dar es Salaam. Mashirika mbalimbali </span></span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border: 0px; line-height: 21px; margin: 0px; outline: 0px; padding: 0px; vertical-align: baseline;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> ya mataifa yanayofanya shughuli za vijana ni kamaUNFPA, IYF, UNIC, ILO, RESTLESS DEVELOPMENT, YUNA, AMREF, MARIE STOPES, pamoja na PSI.(Picha zote na Geofrey Adroph)</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mgeni rasmi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante
Ole Gabriel (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni
Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi na wapili kushoto ni
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu
duniani (UNFPA) Bibi. Natalia Kanem.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Mgeni rasmi
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante
Ole Gabriel pamoja viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa
katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Viongozi katika meza kuu wakiimba wimbo wa Taifa <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; outline: 0px;"><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa
linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem akizungumza
na vijana wakati wa Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Katika hotuba yake aliweza kuzungumzia maswala ya watoto wa kike kubeba mimba wakiwa na umri mdogo ambao unapelekea kuacha masomo kutokana na ujauzito huo pia aliwasisitiza vijana kuwa na umoja kwani ndio nguvu kazi ya Taifa.</span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">Mwendeshaji wa Sherehe hiyo </span><span style="background: white;">Bi</span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">.<span class="apple-converted-space"> </span></span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; font-style: normal;">Usia Nkhoma ambaye ni </span><span style="background-color: white;">Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC)</span><span class="apple-converted-space"> akizungumza jambo na </span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; font-style: normal;"> </span><span style="background-color: white; line-height: 18.3999996185303px;">vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="background: white; font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;"><span style="background-color: transparent; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi</span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; line-height: 115%;">(</span>wa
nne kutoka kulia) akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na vijana wakati wa
maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja jijini Dar es Salaam.Wa tatu kutoka Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, </span><span style="font-family: Georgia, 'Times New Roman', serif;">Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani
(UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa pili
kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia
idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Naibu Katibu
Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole
Gabriel (kushoto) akitoa shukrani kwa wawakilishi wa Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku ya
kimataifa ya vijana duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
Salaam. Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Bi. Hashina Begum na wa pili kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa
linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; outline: 0px;"><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwahutubia vijana
walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani leo katika
Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake aliwasisitiza vijana kujitokeza katika uchaguzi unaotegemea kufanyoka mwezi wa kumi mwaka huu ili kuchagua viongozi makini watakaoweza kutetea masuala ya vijana na pia aliwasisitiza vijana kufanya kazi za kujitolea.</span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="line-height: 115%;"> </span><span style="background: white; border: none windowtext 1.0pt; mso-border-alt: none windowtext 0in; padding: 0in;">Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja
wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum akiwasalimia <span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; outline: 0px;">vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya
vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Bw. Hesein
Melele(wa kwanza kuli) kijana ambaye ni mwakilishi wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa
(YUNA) akiwasilisha maazimio yaliyofikiwa na vijana wakati wa kongamano
lililofanyika Agosti 10 mwaka huu kujadili ujumbe wa siku ya kimataifa ya
vijana duniani na kuandaa maazimio yaliyowasilishwa kwa mgeni rasmi leo katika
Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana
duniani.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani, Tatu Ahmed akitoa shukrani kwa wageni waalikwa waliofika <span style="background-color: white; line-height: 18.3999996185303px;">katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka <span style="background-color: white; line-height: 18.3999996185303px;">asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser</span><span style="background-color: white; line-height: 18.3999996185303px;"> akiwatolea ufafanuzi vijana waliofika kwenye banda la Umoja wa Mataifa katika </span><span style="background-color: white; line-height: 13.8000001907349px;">maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akimsikiliza kwa makini </span>Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka <span style="background-color: white; line-height: 18.3999996185303px;">asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser alipotembelea kwenye banda la Umoja wa Mataifa</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border: 1pt none windowtext; font-style: normal; line-height: 18.3999996185303px; padding: 0in;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la Kazi Duniani (ILO)</span></span><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">, Bw. MacDonald Lanzi (wa pili kutoka kulia) akimfafanulia jambo <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel. </span></span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Wa pili kushoto ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Bi. Hashina Begum na wa kwanza kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border: 1pt none windowtext; font-style: normal; line-height: 115%; padding: 0in;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mshauri na Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara
wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la
Kazi Duniani (ILO), Bw. Lawrence Ambokile(mwenye koti jeusi)</span></span><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background-color: white;"> akitoa ufafanuzi kwa </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipotembelea banda ilo</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in;">Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">Bi. Hashina Begum akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.7999992370605px; padding: 0in;">katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background: white;">Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa
Tanzania (</span><wbr style="background-color: white; line-height: 18.2px;"></wbr>UNIC),<span class="apple-converted-space"> </span><span style="background: white;">Stella Vuzo(wa kwanza kushoto), Meneja mradi wa ICS Bi. </span><span style="background: white;">Imisa Masinjila(wa pili kutoka kushoto)</span><span style="background: white;">, </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara hiyo Prof. Hermas
Mwansoko(wapili kutoka kulia) pamoja na </span><span style="background: white;">Imisa Masinjila </span><span style="background: white;">wakizungumza jambo </span><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; outline: 0px;"><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">Bi. Hashina Begum(wa kwanza kushoto) pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem(katikati) wakizungumza jambo na </span> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;">Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 13.8000001907349px; padding: 0in;"> wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="line-height: 115%;"> </span><span style="background: white; border: none windowtext 1.0pt; mso-border-alt: none windowtext 0in; padding: 0in;">Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja
wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa
Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem
wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya vijana waliofika kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, serif; font-size: 13.5pt; line-height: 20.6999988555908px; text-align: start;"> </span><span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in; text-align: start;">Bw. Hesein Melele(katikati) kijana ambaye ni mwanachama wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA) akiwa kwenye picha ya pamoja na vijana wenzake ambao ni Rehema Pascal(kushoto) pamoja na Felister</span><br />
<div class="separator" style="clear: both;">
<div>
<div class="separator" style="clear: both;">
<div>
<div>
<div>
<div>
<div>
<div>
<div>
<span style="background: white; border: 1pt none windowtext; padding: 0in; text-align: start;"></span><br />
<div>
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="background: white; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;">Vijana kutoka vikundi mbalimbali wakitoa burudani wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border-image-outset: initial; border-image-repeat: initial; border-image-slice: initial; border-image-source: initial; border-image-width: initial; border: 1pt none windowtext; line-height: 115%; padding: 0in;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Vijana
wakifuatilia kwa makini matukio mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa
maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi
Mmoja jijini Dar es Salaam.</span></span></div>
kawaida

Maandamano yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi

Baadhi ya vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishw jijini Dar es Salaam. Mashirika mbalimbali ya mataifa yanayofanya shughuli za vijana ni kamaUNFPA, IYF, UNIC, ILO, RESTLESS DEVELOPMENT, YUNA, AMREF, MARIE STOPES, pamoja na PSI.(Picha zote na Geofrey Adroph)

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wa tatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja leo jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi na wapili kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bibi. Natalia Kanem.

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel pamoja viongozi wengine wakipokea maandamano ya vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Viongozi katika meza kuu wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani iliyoadhimishwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem akizungumza na vijana wakati wa Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Katika hotuba yake aliweza kuzungumzia maswala ya watoto wa kike kubeba mimba wakiwa na umri mdogo ambao unapelekea kuacha masomo kutokana na ujauzito huo pia aliwasisitiza vijana kuwa na umoja kwani ndio nguvu kazi ya Taifa.

Mwendeshaji wa Sherehe hiyo Bi. Usia Nkhoma ambaye ni Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) akizungumza jambo na vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi(wa nne kutoka kulia) akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza na vijana wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.Wa tatu kutoka Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel, Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa pili kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.

Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akitoa shukrani kwa wawakilishi wa Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa pili kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.

Naibu Katibu Mkuu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwahutubia vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake aliwasisitiza vijana kujitokeza katika uchaguzi unaotegemea kufanyoka mwezi wa kumi mwaka huu ili kuchagua viongozi makini watakaoweza kutetea masuala ya vijana na pia aliwasisitiza vijana kufanya kazi za kujitolea.

Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum akiwasalimia vijana walioshiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Bw. Hesein Melele(wa kwanza kuli) kijana ambaye ni mwakilishi wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA) akiwasilisha maazimio yaliyofikiwa na vijana wakati wa kongamano lililofanyika Agosti 10 mwaka huu kujadili ujumbe wa siku ya kimataifa ya vijana duniani na kuandaa maazimio yaliyowasilishwa kwa mgeni rasmi leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.

Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Jangwani, Tatu Ahmed akitoa shukrani kwa wageni waalikwa waliofika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani.

Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser akiwatolea ufafanuzi vijana waliofika kwenye banda la Umoja wa Mataifa katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akimsikiliza kwa makini Mratibu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA), Rahim Nasser alipotembelea kwenye banda la Umoja wa Mataifa

Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la Kazi Duniani (ILO), Bw. MacDonald Lanzi (wa pili kutoka kulia) akimfafanulia jambo Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel. Wa pili kushoto ni Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum na wa kwanza kutoka kulia ni Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem.

Mshauri na Mkufunzi wa Ujasiriamali/Biashara wa Program ya anzisha na imarisha biashara yako (SIYB) iliyochini ya Shirika la Kazi Duniani (ILO), Bw. Lawrence Ambokile(mwenye koti jeusi) akitoa ufafanuzi kwa Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel alipotembelea banda ilo

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro

Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum akisaini kitabu katika kwenye moja ya bada la PSI Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja walipokua wakiadhimisha siku ya kimataifa ya vijana duniani. kushoto ni Dkt. Benedict Nyiro

Ofisa Habari wa Kituo cha Taarifa cha Umoja wa Mataifa Tanzania (UNIC), Stella Vuzo(wa kwanza kushoto), Meneja mradi wa ICS Bi. Imisa Masinjila(wa pili kutoka kushoto), Mkurugenzi wa Utamaduni kutoka Wizara hiyo Prof. Hermas Mwansoko(wapili kutoka kulia) pamoja na Imisa Masinjila wakizungumza jambo maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum(wa kwanza kushoto) pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem(katikati) wakizungumza jambo na Mkurugenzi Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. James Kajugusi wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Msaidizi wa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini Tanzania Bi. Hashina Begum pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu duniani (UNFPA) Bi. Natalia Kanem wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya vijana waliofika kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Bw. Hesein Melele(katikati) kijana ambaye ni mwanachama wa asasi ya vijana chini ya umoja wa mataifa (YUNA) akiwa kwenye picha ya pamoja na vijana wenzake ambao ni Rehema Pascal(kushoto) pamoja na Felister


Vijana kutoka vikundi mbalimbali wakitoa burudani wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Vijana wakifuatilia kwa makini matukio mbalimbali yaliyokua yakiendelea wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana duniani katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
.
.
0 Comments