Rais wa Sudani Kusini, Salva Kiir ametishia kuwaua Waandishi wa Habari watakaoandika Habari ambazo ni kinyume na maslahi ya Taifa.
-Takribani Waandishi wa Habari watano wamepoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha kwa mwaka 2015 tu nchini Sudani ya Kusini.
Zaidi, Soma => http://goo.gl/qSlbYX
0 Comments