HABARIZILIZOTUFIKIA: Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa zamani wa fedha Bazil Mramba,na aliyekuwa waziri wa zamani wa madini na nishati,Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
Related Posts
- [wanabidii] APO (African Press Organization) Unveils Newly Refreshed Brand Identity
- [wanabidii] Press Releases: U.S. Department of State to Host Facebook Q&A on Syrian Children
- [wanabidii] New content updates
- [wanabidii] Pan African Conference on Science, Computing and Telecommunications (PACT 2014)
- [wanabidii] HARAKATINEWS BLOG:CHADEMA yalia na Polisi Helkopta yao kuzuiwa Uchaguzi kalenga
- [wanabidii] New content updates
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments