HABARIZILIZOTUFIKIA: Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa zamani wa fedha Bazil Mramba,na aliyekuwa waziri wa zamani wa madini na nishati,Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
Related Posts
- [wanabidii] Matokeo ya ACT Kigoma Mjini;
- [Mabadiliko] Matokeo ya awali ya Iringa Mjini kwa upinzani
- [Mabadiliko] Kimbunga Singida Mashariki!!!!
- [wanabidii] Top Headlines: Govt wants schools to observe 'good governance day' on Christmas
- [wanabidii] Matokeo kamili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
- [wanabidii] MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI WA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYA YA IRINGA VIJIJINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments