Niko kwenye zoezi la uandikishaji BVR Kinyerezi. Zoezi limeingia dosari nyingi ikiwemo kuisha karatasi za kuandikisha na baya zaidi ni pale afisa magereza aliyepewa fursa ya kujiandikisha na baadaye akajaribu kumleta ndugu yake kimabavu bila kufuata utaratibu.
Raia ambao wengi wao wamekuwepo kituoni tangu saa 9 alfajiri walikosa uvumilivu na kuzusha rabsha ambayo imepelekea zoezi kuhairishwa kwa muda.
Hadi ninapoandika haya zoezi limesimama na hatima yake haijulikani. Bado Tuko kwenye mstari na hatujui kama tutafanikiwa kupata usajiri. Mimi nimepewa namba tangu jumamosi ya wiki iliyopita.
Kuna mapungufu mengi sana ukiwa ni pamoja askari aliyepo kituoni kutotimiza wajibu wake sawasawa kwani hadi muda wote vurugu zinafanyika alikuwa pembeni tu anashuhudia.
Hii Ndiyo Tanzania!
--Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAN5khk5HW2XzHhDTJcxg62E7BkemmZyA%2BxtFB2Mba8fN9Te5Mg%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments