Ndugu Watanzania,
Mmeona hiyo barua iliyoamtanishwa katika barua-pepe hii? Tafadhali someni. Tafuna na kuchambua ujumbe uliomo. Kama ni mimba, mama hajifungui; mtoto hazaliwi salama. Hakuna mtoto, hakuna mama. The country is done, Serikali is gone. Waswahili wanasema kwishnei.
Ngago.
Kaiza
0 Comments