[wanabidii] Miaka hii ya maumivu

Thursday, May 28, 2015

Ndugu Watanzania,

Mmeona hiyo barua iliyoamtanishwa katika barua-pepe hii? Tafadhali someni. Tafuna na kuchambua ujumbe uliomo. Kama ni mimba, mama hajifungui; mtoto hazaliwi salama. Hakuna mtoto, hakuna mama. The country is done, Serikali is gone. Waswahili wanasema kwishnei.

Ngago.

Kaiza

 

 

 

Share this :

Related Posts

0 Comments