[Mabadiliko] Nampendekeza Dr. John Pombe Magufuli achukue mikoba ya Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo?

Thursday, December 04, 2014

Wanyambo wana usemi, "wafu huzidiana harufu".

Nampendekeza Dr. John Pombe Magufuli achukue Wizara hii.

Deo Filikunjombe achukue mikoba ya Dr. John Pombe Maguful.

Ni msaada wangu wa mawazo wa bure kabisa kwa Prof. J. M. Kikwete Rais wa JMT aliyechaguliwa n watu 5m kati ya 45m.





Sent from Samsung tablet

Share this :

Related Posts

0 Comments