[Mabadiliko] MUUNGANO HUU NDO UTAWAPELEKA UKAWA IKULU 2015.

Tuesday, December 16, 2014
Hakuna    atakebisha muungano huu serikali  za mitaa umekuwa  mwiba mkali  kwa  ccm.  ili ukawa   waende ikulu  2015. wafanye  haya

1: waunde  muungano wenye  jina moja tu.
2: waite wajumbe wa halmashauri kuu  wa vyama vyote wakae  pamoja  kila chama kipendekeze jina la mgombea   na wapige kura ili  kupata mgombea wao mmoja wa uraisi.
3: waite wajumbe wa ngazi ya mkoa/wilaya  wa vyama vyote  kila chama kipendekeze  mgombea mmoja wa ubunge    na  wagombea wapambane  wapate mmoja anayekubalika zaidi.  ili asimame  kugombea ubunge  kwa karata ya  muungano. Kusiwe na walk over  ili  kusilete mgawanyiko na malalamiko
3: waite ngazi ya  kata vyama vyote ndani ya muungano   wapendekeze wagombea  na wapigiwe kura  na wajumbe wa kata. ataeibuka  kidedea abebe bendera.

wataoshindwa kwenye uraisi  bado wana nafasi  ya kuwa mawaziri  mkichukua nchi.
watakao  shindwa ubunge bado  wana nafasi kwenye teuzi mbali mbali kama ukuu wa wilaya, mkoa, ukurugenzi, ubalozi  n.k

watakao shindwa udiwani nao wanafursa kama za hapo juu.

KILA LA HERI  KWENYE  MAANDALIZI YENU YA 2015.  


--
XAVERY  LANGA KAPECHA NJOVU

0783 662681

" Smooth seas don't make skilful sailors. "

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAAPXYOJLm1cZat2rg%2BTwyt39w-WtDCq8ayTUE4MvUCDd%3DT58qA%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Related Posts

0 Comments