Re: [wanabidii] Ikulu: Tumefedheheshwa Jaji Warioba kushambuliwa

Tuesday, November 11, 2014

Ikulu imechelewa na sioni kama kaombwa msamaha wa dhati.

Ikulu walitakiwa kuomba msamaha kwa taasisi ya mwalimu nyerere name kwa mzee warioba.

Kuna cha kujifunza hapo ukistaafu we ndo kwishney sasa hawa waliomadarakani sijui wanajua uko Sikh watakuwa wastaafu!?

On Nov 10, 2014 2:52 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa 'Mtu akisema nakerwa na rushwa tumwangalie usoni tuone huyu ndiye anakerwa na rushwa kweli?'
Nimelikumbuka neno hilo baana ya kusoma tamko la Katibu kiongozi kukerwa na vijana waliomfanyia fuji Warioba. Anasema Serikali imekerwa. Serikali anayosema ni ile yenye vyombo vya dola ikiwemo polisi ambao hadi sasa hatujasikia vijana hao kukamatwa licha ya kuwa picha viliwaonyesha na zinaweza kuwaonyesha hata sasa mtu akitaka.
Hizi nazo ni dalili za namna yake za serikali kukerwa.
--------------------------------------------
On Mon, 11/10/14, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Ikulu: Tumefedheheshwa Jaji Warioba kushambuliwa
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Monday, November 10, 2014, 8:37 PM

 ipo haja ya wanausalama kuratibu
 safari za ziongozi wastaafu na wa
 kitaifa ili waweze kujipanga kulinda usalama wao.

 On 11/10/14, Oksana Spice <worldngojobs@gmail.com>
 wrote:
 >
 >
 > Serikali inapitia upya ulinzi wa viongozi wastaafu ili
 kuepuka fedheha
 > iliyotokana na vurugu alizofanyiwa Waziri Mkuu mstaafu,
 Jaji Joseph Warioba
 >
 > hivi karibuni.
 >
 > Mpango huo umeelezwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi
 Ombeni Sefue mwishoni
 > mwa wiki, akisema Serikali imekerwa na kufedheheshwa
 kutokana na tukio hilo
 >
 > lililotokea wakati wa mdahalo wa Katiba Inayopendekezwa
 katika Hoteli ya
 > Blue Pearl, Dar es Salaam Novemba 2, mwaka huu.
 >
 > “Kimsingi tutakachokifanya ni kupitia upya mpango wa
 ulinzi wa viongozi
 > wote waliostaafu, japokuwa huwa tunafanya hivyo mara
 kwa mara, lakini kwa
 > hili la Mzee Warioba tunaliangalia kwa umakini wake.
 >
 > “Tumekerwa sana na tukio lile, halikutufurahisha hata
 kidogo kama Serikali
 > kwa kuwa limemvunjia heshima Mzee Warioba, yule ni mzee
 wetu, anahitaji
 > heshima, kwanza heshima yake na ulinzi.”
 >
 > Kauli hiyo ya Sefue imekuja wakati mdahalo huo
 uliovunjika baada ya Mzee
 > Warioba kushambuliwa, ukiwa umetangazwa kufanyika upya
 Jumapili Novemba 16,
 >
 > mwaka huu katika hoteli hiyohiyo.
 >
 > Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
 Humphrey Polepole
 > alithibitisha jana kuandaliwa kwa mdahalo huo kuanzia
 saa 9.00 alasiri siku
 >
 > hiyo.
 >
 > Tukio la kufanyiwa vurugu Jaji Warioba lililaaniwa na
 wananchi, wasomi,
 > wanasiasa na wanaharakati mbalimbali wakisema
 kuwashambulia viongozi na
 > hasa katika mjadala wa Katiba ni kukosa uvumilivu na ni
 kuashiria machafuko
 >
 > katika siku za usoni.
 >
 > Balozi Sefue aliongeza: “Najua si jambo zuri, iliwahi
 kutokea pia kwa Mzee
 > (Ali Hassan) Mwinyi, alipigwa kibao... sasa kingine ni
 mazingira
 > yanapotokea matukio haya, wakati mwingine ni ngumu.”
 >
 > Mzee Mwinyi alipigwa kibao Machi 10, 2009 na mmoja wa
 waumini wa dini ya
 > Kiislamu katika Baraza la Maulidi wakati Rais huyo
 mstaafu alipokuwa
 > akihutubia.
 >
 > Kutokana na matukio hayo, Balozi Sefue alisema:
 “Watanzania tumekuwa na
 > tabia ya kuheshimiana lakini matukio haya yanatokea na
 kila mmoja
 > hatarajii, kinachotakiwa ni sisi tuwaheshimu wazee wetu
 hawa.”
 >
 > Mdahalo wa wiki iliyopita ulioandaliwa na Taasisi ya
 Mwalimu Nyerere,
 > ulivunjika baada ya kutokea vurugu wakati Jaji Warioba
 alipokuwa akihoji
 > vitendo vya baadhi ya watu kutumia vibaya jina la Baba
 wa Taifa, Mwalimu
 > Julius Nyerere.
 >
 > Jaji Warioba alikuwa akihitimisha hotuba yake
 akichambua hoja zilizomo
 > katika Katiba Inayopendekezwa akilinganisha na zile
 zilizoachwa katika
 > Rasimu ya Pili ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya
 Mabadiliko ya Katiba
 > aliyoiongoza.
 >
 > Vurugu hizo zilidumu kwa takriban dakika 45 ndani ya
 ukumbi wa mikutano wa
 > hoteli hiyo na msaidizi wake alimtoa ukumbini dakika 30
 baada ya sakata
 > hilo kuanza, hali iliyowapa nafasi vijana hao
 walioonekana kujiandaa
 > kufanya vurugu, kumsogelea Makamu huyo wa kwanza wa
 rais mstaafu na kumtia
 > msukosuko.
 >
 > http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Ikulu--Tumefedheheshwa-Jaji-Warioba-kushambuliwa/-/1597296/2516966/-/item/1/-/qxv44r/-/index.html
 >
 > --
 > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 >
 > Kujiondoa Tuma Email kwenda
 > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha
 > ukishatuma
 >
 > Disclaimer:
 > Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility for any legal
 > consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be
 > presented responsibly. Your continued membership
 signifies that you agree to
 > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 > ---
 > You received this message because you are subscribed to
 the Google Groups
 > "Wanabidii" group.
 > To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails from it, send an
 > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 > For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.
 >

 --
 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Share this :

Previous
Next Post »
0 Comments