[wanabidii] UHURU KENYATTA ANAREJEA KENYA KWA SHANGWE

Thursday, October 09, 2014
Ninaangalia hapa mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Watu wa Kenya, Uhuru Kenyatta anaporejea nchini humo baada ya kuhudhuria shauri lake kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) huko Uholanzi.

Karibu sana nyumbani kwako Uhuru Kenyatta.

Share this :

Related Posts

0 Comments