MAMBO YA MAPOCHO POCHO NA MISOSI !
UNAPOKUWA UGENINI LAZIMA UKUBALI UTAMADUNI WA WENYEJI WAKO ,
Waswahili tuna usemi wetu wa "Ukienda Roma basi nawe uwe kama Mrumi"
Usemi mweingine ni ule "Ukienda katika nchi ya wenye chongo nawe funga lako jicho" yaani jifanye mwenye chongo.
Sasa kuhusu mwaswala ya Kiweo au mapocho pocho waswahili wenzetu vipi?
tukienda ugenini? ua ndio tunapenda kuvuka mto wa maji kwa kutumia mgongo wa mamba ! na hapo hapo tunamtukana Mamba !?
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 Comments