Mkurugenzi wa Mtangamano wa Biashara toka Wizara ya Viwanda na Biashara, Profesa Lucas Saronga na Ofisa Habari wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Happiness Katabazi,Leo Katika Makao makuu ya UB, Mikocheni kwa Warioba Dar Es Salaam.Profesa Saronga alitembelea ofisini hapo na kufanya mahojiano nami kuhusu masuala ya Biashara na uwekezaji.Makala ya mahojiano baina yangu na mtaalamu Huyo wa Biashara na uwekezaji Kimataifa ,itawajia wiki ijayo.By Happiness Katabazi.Agosti 2 Mwaka 2014.
Sent from my iPad
0 Comments